Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

WANASIASA ZINGATIENI KANUNI NA MIONGOZO YA UCHAGUZI’ MHE. MCHENGERWA

Imewekwa tar.: November 13th, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wanasiasa kuzingatia Kanuni, Miongozo  na Taratibu katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27.

Muda wa kukata rufaa bado upo watu wasikae nyumbani na kuviacha vyama vyao kuendelea kuwasemea, rufaa inakatwa na mgombea mwenyewe kwahiyo wale wanaoona hawajatendewa haki watumie muda uliobaki wakakate rufaa,”amesema

 Mhe. Mchengerwa amesema mgombea ambaye hajaridhika na mchakato njia ya kwanza ya kutafuta haki ni kuweka pingamizi kama hujapata haki yako kata rufaa kupitia kwa wasimamizi wasaidizi na hadi sasa bado wanasiku mbili kuwasilisha rufaa.

Tujiepushe na mitandao ofisi ziko wazi hadi hivi sasa nazungumza 8:19 mchana ni waambie walioenguliwa wapeleke rufaa zao muda bado, kwakuwa mchakato bado kanuni zinanibana kuzungumza,”alisema 

Amesema uchaguzi wa Serikali za mitaa ni kalenda ya mwaka mzima kila siku kuna tukio lake na kanuni zinazotumika vyama vyote 19 vinavyotarajia kushiriki uchaguzi huo vilikaa pamoja na kukubaliana.

" waambieni wanasiasa wafuate utaratibu hatuwezi kuwa na taifa ambalo halifuati misingi ya Katiba,sheria, kanuni na taratibu tulizojiwekea wenyewe tutakuwa taifa la ovyo kabisa,”amesema 

Amesema hoja nyingi zinazoelezwa na vyama hivyo ni propaganda na inaonekana hawakujipanga na uchaguzi huo huku akieleza Novemba 14 mwaka huu atatoa tathimini na kutoa takwimu za kila mkoa kwa ushahidi.

Akijibu kuhusu ofisi kufungwa na wasiamamizi wasaidizi, Mheshimiwa Mchengerwa amesema taarifa zilizorekodiwa  kwa baadhi ya vyama vya upinzani ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),amejirisha pasipo shaka hazikufungwa.

“Ingawa kuna changamoto ilijitokeza katika mkoa wa Arusha kuna watu wasiokuwa na nia njema walivamia maeneo hayo na kutoa vitisho kwa watendaji, lakini maeneo mengi vituo vilikuwa wazi,”amesema 

Amesema kinachomshangaza ni kuona vyama vya siasa vinalalamika wagombea wao kuenguliwa wakati wagombea wenyewe wamebaki nyumbani hawapeleki rufaa zao.

"malalamiko wanayotoa kupitia viongozi wao kama wanacholalamikia ni kweli kanuni zetu ziko wazi ni nani anapaswa kwenda kukata rufaa, nawakumbusha kukata rufaa,” amesema  

Amesema kwenye vituo hakuna changamoto ila kinachofanyika ni propaganda za kisiasa kwa siasa kuhamia kwenye mitandao huku akieleza kumekuwa na viongozi wanaoaminika wanatumika kusambaza uvumi,”amesema 

Kwa upande wake, mwanasheria wa Tamisemi,Mihayo Kadete amefafanua maana ya ujasiriamali akisema ni kazi yeyote inayotambulika kiserikali huku akieleza si kigezo sawa cha kutumia kuwaengua wagombea.

“Si sahihi kwa mgombea wa chama chochote kuenguliwa kwa kigezo kama amejaza tu ujasiriamali ni kazi halali na yule aliyeenguliwa kwa kigezo hicho anapaswa kukata rufaa kutafuta haki yake,”amesema

Katika hatua nyingine,Meneja wa Kitengo cha Huduma za Utangazaji, kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Andrew Kisaka amevihimiza vyombo vya habari kuzingatia usawa wa kurusha maudhui bila kuegemea upande wowote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.