Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

WANANCHI RUFIJI WAMPONGEZA MCHENGERWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa tar.: May 10th, 2025

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI

WANANCHI wa Rufiji mikoani Pwani wameeleza kufurahishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo jimboni humo ikiwemo ujenzi wa barabara, shule, zahanati na vituo vya afya.

WANANCHI hao pia wamempongeza Mbunge wa Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa kwa jitihada zake za kuhakikisha huduma za jamii zinapatikana kwa uhakika na ubora.

Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya kikazi ya Mwenyekiti wa UWT taifa Mhe. Mary Chatanda aliyoifanya Wilayani Rufiji kwa siku mbili, kwa lengo la kukagua utetelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020/2025.

Mkazi wa ikwiriri Bw. Abdallah Moba amesema jitihada za Mhe. Mchengerwa za kujenga barabara ya Kituo cha Afya Ikwiriri zimewawezesha wananchi kufika kwa urahisi katika kituo hicho ili kupata huduma za afya msingi.

Bi. Mariam Hamza ambaye ni Mama Lishe amesema kuwa, kabla ya barabara ya Kituo cha Afya Ikwiriri kujengwa wateja wake walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya vumbi pindi bodaboda zinapopita, hali iliyopelekea kuwapoteza wateja lakini hivisasa changamoto hiyo imetatuliwa.

Bw. Sirajidini Hassan ambaye pia ni dereva bodaboda ambaye shughuli zake anazifanya nje ya Kituo cha Afya Ikwiriri, amemshukuru Waziri Mchengerwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuijenga barabara hiyo ya Kituo cha Afya Ikwiriri na kuiwekea taa kwani hapo awali watu hususani wanawake walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya kuporwa mali zao kutokana na kiza kilichokuwepo wakati usiku.

Bw. Ramadhan Hamza ambaye pia ni dereva bodaboda, amemshukuru Waziri Mchengerwa kwa kuhakikisha Barabara ya Kituo cha Afya Ikwiriri inajengwa, na hatimaye kuwawezesha wagonjwa kufika kwenye kituo hicho cha afya kwa wakati ikiwa ni pamoja na kuwawezesha madereva bodaboda kujiongezea kipato.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema amefanya kazi usiku na mchana ya kuleta mabadiliko wilayani Rufiji kwa kushirikiana na viongozi wa kata zote, lengo likiwa ni kuboresha upatikianaji wa huduma za kijamii ambapo wananchi hivisasa wanafurahia huduma zinazotolewa katika sekta ya elimu, afya na barabara.

Mhe. Mchengerwa amesema: “Tumefanya kazi usiku na mchana kuhakikisha tunaibadilisha Rufiji, tulianza ujenzi wa shule, ujenzi wa zahanati, ujenzi wa vituo vya afya na miundombinu ya barabara na mingineyo,” Mhe. Mchengerwa amesisitiza.

Mhe. Mchengerwa ameongeza kuwa, walikubaliana kwamba ndoto ya wanarufiji ni kuleta mabadiliko, hivyo ana uhakika mwananchi yeyote akiulizwa hivisasa ataeleza namna ndoto hiyo ilivyotimia katika kipindi hiki cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita.

Kwa upande wake, Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ikwiriri Dkt. Tegemei Mtambo ameishukuru Serikali kwa kuwapatia milioni 140 zilizowezesha ujenzi wa jengo la huduma za mionzi na huduma tayari imeanza kutolewa, ambapo awali wananchi walilazimika kusafiri zaidi ya kilomita 30 kufuata huduma hiyo katika Hospitali ya Wilaya na Hospitali ya Misheni Mchukwi.

Sanjari na hilo, Dkt. Mtambo ameishukuru Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kuwapatia X-Ray ya kisasa inayowahudumia wananchi, aidha amemshukuru Waziri Mchengerwa kwa kutimiza ahadi yake ya kumleta Mteknolojia wa Mionzi ikiwa ni pamoja usimamizi wa maboresho yote yaliyofanyika kiasi cha watu kuamini kuwa Kituo cha Afya Ikwiriri ndio Hospitali ya Wilaya ya Rufiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.