Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Wakurugenzi simamieni ukusanyaji wa Mapato

Imewekwa tar.: March 15th, 2020

Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini wameagizwa kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa Mapato ya ndani ili kutimiza malengo yaliyopangwa na Serikali katika mwaka wa fedha wa 2019/2020

Agizo hilo limetolewa leo na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga alipokuwa akikagua  miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro.

Ameseama kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zimepangiwa kukusanya  zaidi ya shilingi bilioni 765 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 lakini hadi kufikia Februari, 2020 Mamlaka hizo zimeweza kukusanya mapato kwa asilimi 61 ya malengo ya mwaka.

“Inasikitisha kuona baadhi ya maeneo fedha za makusanyo ya mapato zinaingia mifukoni mwa watu, unakuta wanakusanya fedha lakini haziingii kwenye akaunti za Halmashauri, jambo hili linaisababishia Serikali kupoteza Mapato”Amesisitiza Mhandisi Nyamhanga.

Mhandisi Nyamhanga ameendelea kwa kusema kuwa ili Halmashauri ziweze kutekeleza mipango yake  na kufikia malengo waliojiwekea katika mwaka ni wajibu wa wakurugenzi wote kuweka nguvu katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na kuzitumia fedha hizo  kwa kazi zilizopangwa.

 “Ongezeni kasi ya kukusanya mapato ya ndani, hakikisheni malengo mliyoweka ya ukusanyaji wa mapato yanatimizwa, zibeni mianya ya upotevu wa mapato hasa kwa watumishi wanaosimamia ukusanyaji huo, jambo hili linatia doa na kusababisha Halmashauri nyingi kutokamilisha  miradi ya maendeleo kwa wakati” Amesisitiza Mhandisi Nyamhanga.

Kuhusu matumizi ya fedha za ndani na ruzuku za Serikali Mhandisi Nyamhanga amesema Serikali inatoa fedha nyingi sana  katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ni wajibu wa Wakurugenzi wote nchini kuhakikisha wanasimamia matumizi ya fedha.

Amesema kuwa baadhi ya Halmashauri fedha hizo zinakusanywa lakini zinaanza kutumika kabla hazijaingizwa kwenye akaunti za Halmashauri, hii ni sawasawa na kutumia fedha mbichi hivyo naelekeza fedha hizo zikusanywe na kuingizwa kwenye akaunti ndipo zianze kutumika

Amefafanua kuwa Fedha nyingi zinakusanywa katika Halmashauri lakini haziingii kwenye Akaunti, Wakurugenzi hakikisheni  mnatumia mifumo ya kielektroniki kukusanya mapato na kuhakikisha fedha hizo zinaingia kwenye Halmashauri

Mhadisi nyamhanga amesema kuwa Halmashauri hazina budi  kuongeza kasi  ya ukusanyaji wa mapato ya ndani  lakini kupanga matumizi  mazuri ya fedha hizo  kama yalivyopangwa  kwenye bajeti zao .

Aidha amesisitiza kuwa Serikali imesambaza mashine  7227  kwenye Halmashauri mbalimbali nchini  kwa ajili ya kuboresha  ukusanyaji wa mapato ambapo ugawaji umeenda sambamba  na  uwezo wa Halmashauri katika kukusanya mapato.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo amesema kuwa wameweza kudhibiti wizi wa mapato ya ndani kwa kuhakikisha matapeli wote wa Mapato wanatafutwa na kuzirudisha fedha hizo

Wakati huohuo Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga  amefanya ziara ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero na kutembelea  mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Mvomero na mradi wa ujenzi wa Sekondari ya kumbukumbu ya Sokoine..

Na. Angela Msimbira MVOMERO



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NENDENI MKAITANGAZE SERIKALI.

    May 24, 2025
  • SOKO LA KISASA LA NYAMA CHOMA LAZINDULIWA VINGUNGUTI

    May 24, 2025
  • DKT. Biteko asisitiza wazazi kuthamini nafasi ya familia katika malezi na makuzi ya mtoto.

    May 24, 2025
  • Mhe. Rais Samia amtaka Prof. Nagu kuboresha  huduma ya afya ya msingi.

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.