• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Wahudumu ya afya ya jamii Mkoani Simiyu wanolewa

Imewekwa tar.: June 22nd, 2018

Mratibu wa mradi wa RMNCAH- UNFPA Idara ya Afya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Bi. Dinah Atinda amesema wahudumu wa ngazi za jamii wanajukumu kubwa la kutoa elimu, habari na unasuhi wa awali kwa wanawake wajawazito.

Ameyasema hayo wakati akifungua  mafunzo ya siku saba kwa wahudumu wa afya ya Jamii Mkoani Simiyu inayohusu kuboresha  afya ya Uzazi na Watoto wachanga ili kupunguza vifo vya mama na mtoto  kwa wahudumu wa afya jamii Mkoani Simiyu.

Amesema  kuwa ushirikishwaji wa jamii unatoa fursa kwa jamii  kujihususha  kufanya maamuzi yanayohusiana na afya zao na inaendeleza  kufikia mikakati inayoweza  kusaidia kupunguza kuchelewa kwa wanawake na familia zao  kupata huduma za afya.

Amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu ili waweze kuisaidia jamii ambayo kwa sasa inaangamia kwa kukosa huduma bora za afya, kutokana na vifo vingi vya mama wajawazito na mtoto Mkoani Simiyu

Amesema kuwa wamama wajawazito wengi hujifungulia kwa wakunga wa jadi na kukosa huduma iliyo sahihi jambo ambalo linasababisha wakinamama wengi kufa kwa kukosa huduma za msingi za afya hivyo ni jukumu la watoa huduma ya afya ya jamii kuhakikisha wanatoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya.

Amesema takwimu zinaonyesha kuwa Mikoa ya Kanda yaziwa inaongoza kwa vifo vya mama na mtoto lakini Mkoa wa Simiyu unaidadi kubwa ya vifo vya Mama na Mtoto kwa asilimia 50 kutokana na mila potofu zilipo katika Mkoa huo

Amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI ) kwa kushirikiana na  wafadhili kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la Watu Duniani( UNFPA) wameboresha vituo vya afya na Zahanati  ili viweze kuzalisha kinamama na  kutoa huduma za upasuaji ndani ya vituo vilivyopo katika Halmashauri zao  na kupunguza vifo vya mama na mtoto katika Mkoa huo.

Amesema Serikali kupitia shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la watu Duniani (UNFPA) wameweza kujenga imejenga vituo vya afya 38 vyenye uwezo wa kufanya upasuaji na zahanati ambazo zilikuwa hazina wodi za wazazi ziweze kuzalisha akina mama na majengo yakikamilika vitapatiwa vifaa ili huduma ya afya iwe nzuri kwa jamii.

Bi. Dinah amesisitiza kuwa Wahudumu wa afya ya jamii wanajukumu kubwa la kuelimisha jamii juu ya kuondokana na mila potofu, wakina mama kuudhuria Kiliniki na Zahanati zilizoko katika maeneo yao ili kupunguza vifo vya wamama wajawazito na watoto wachanga Mkoani Simiyu.

Anaandika Angela Msimbira, OR-TAMISEMI  

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.