Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Waalimu Wakuu Nchini watakiwa kutoruhusu wizi na udanganyifu katika mitihani

Imewekwa tar.: February 27th, 2019

Walimu wakuu nchini wametakiwa kutoruhusu wizi na udanganyifu katika  mitihani ili kuweza kuzalisha vijana bora na wenye weledi mzuri katika kuwatumikia watanzania.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo wakati wa uzinduzi wa  Umoja wa Walimu Wakuu  wa Shule za Msingi Tanzania Bara(TAPSHA) leo Jijini Dodoma.

Mhe.Jafo amesema kuwa kila mwalimu anawajibu  wa kuhakikisha wanasimamia vyema wizi na udanganyifu wa ina yoyote wa mitihani mashuleni  ili kuzalisha vijana wenye uwezo mzuri katika kulitumikia taifa la Tanzania kwa kuwa  watanzania wanahitaji matokeo chanya kutoka kwa vijana wao ndio maana wanawekeza katika elimu.

“Naomba Walimu wakuu na walimu wote nchini kuendelea  kushirikiana kwa kufanya kazi kwa pamoja ili kufanyikisha azma ya Serikali ya  kumpatia mtoto wa kitanzania  hasa mtoto wa maskini elimu bora itakayomsaidia katika maisha yake”Ameeleza Mhe.Jafo.

 Mhe.Jafo ameongezea na kusema kuwa kupitia umoja huu walimu wote nchini amewaaiza kuhakikisha wanasimamia matumizi ya fedha kwa kufuata taratibu na miongozo yote waliyopewa ili kuimalisha elimu nchini kwa kuhakikisha  kuwa wanafunzi wote wafahamu kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK).

Mhe.Jafo amesema serikali iko makini kuhakikisha kuwa mazingira ya kutolea elimu yanakuwa bora na rafiki kwa makundi yote ili kuleta usawa kwa wananchi wake.

Aidha  Mhe.Jafo ametoa wito kwa wenye shule binafsi kuona namna ya kuweka tozo za ada ambazo kila mtanzania anaweza kuzimudu ili watanzania wanufaike kwa huduma ya elimu inayotolewa na wazawa wa nchi hii.

Naye Katibu wa Umoja wa Walimu Wakuu  wa Shule za Msingi Tanzania Bara(TAPSHA) Bi.Fatuma Kalembo ametoa neno la shukrani kwa niaba ya umoja huo kwa kusema kuwa watahakikisha wanayatekeleza maagizo yalyotolewa  ili kuleta chachu katika kuzalisha vijana wakitanzania walio bora katika elimu wanayoipata  kutoka kwao.

Umoja wa TAPSHA  umetokana na Umoja wa shule za msingi mkoa wa Da er salaam ambao uliazishwa mwaka 1994, mwaka 2010 Walimu wakuu wa shule za msingi wa mkoa wa Dar es salaam  na baadhi toka mikoani ikiwemo mkoa wa Dodoma walikubaliana kwa pamoja kuanzisha TAPSHA kwenye mkutano uliyofanyika shule ya sekondari Loyola na mwaka 2018 Januari umoja huu ulisajiliwa  rasmi na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kupewa namba ya usajili S.A 20991.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.