• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

UTOAJI WA HUDUMA ZA JAMII UNABORESHWA ILI KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO

Imewekwa tar.: November 9th, 2024

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Sospeter Mtwale amesema, Ofisi ya Rais-TAMISEMI inaendelea kuboresha utoaji wa huduma za jamii kwa kushirikiana na wizara za kisekta ili kukuza uchumi, kuleta maendeleo na kuimarisha ustawi wa mwananchi mmoja mmoja na wa taifa kwa ujumla. 

Bw. Mtwale amesema hayo leo katika Ukumbi Mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Ofisi ya Rais-TAMISEMI na Wizara za Kisekta kilicholenga kujadili uratibu wa mipango na bajeti kwa shughuli zinazotekelezwa na kusimamiwa katika ngazi za Halmashauri, Mikoa na Wizara za Kisekta.

“Kikao hiki ni fursa ya kujadili mipango na bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, hivyo niwaombe mshiriki kikamilifu kwa kutoa maoni na ushauri utakaowezesha uandaaji mzuri wa mipango na bajeji kwa mwaka wa fedha ujao,” Bw. Mtwale amesisitiza.

Sanjali na hilo, Bw. Mtwale amesema kikao hicho kitasaidia kujadili na kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili Serikali katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika ngazi za Mikoa na mamlaka za Serikali za Mitaa.

Aidha, Bw. Mtwale amewataka washiriki kuongeza ubunifu wakati wa uandaaji wa mipango na bajeti ili kutengeneza mazingira wezeshi kwa wananchi na sekta binafsi, na hatimaye kuongeza thamani ya mazao na bidhaa mbalimbali zinazozalishwa ambazo zitakuwa na bei nzuri katika masoko ya nje.

“Nitumie fursa hii kuendelea kuwakumbusha na kuwasisitiza mhakikishe kuwa, mnaandaa mipango na kutenga bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa afua na shughuli mbalimbali katika ngazi za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa,” Bw. Mtwale amehimiza.

Naye, Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. John Cheyo amesema lengo la kuandaa kikao cha wizara za kisekta ni kujenga mahusiano mazuri kiutendaji pamoja na kuangalia namna bora ya kusaidiana katika kutekeleza shughuli za kisekta kwa wananchi katika ngazi ya chini ambayo ni Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

“Wizara za Nishati, Kilimo, Maji na Mifugo na Uvuvi ambazo zimewakilishwa hapa zina shughuli za kisekta zinazotekelezwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo zipo chini ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, hivyo tumeona ni muhimu tukakutana ili kupata namna bora ya kuratibu utekelezaji wa shughuli hizo,” Bw. Cheyo amefafanua.

Kikao kazi hicho cha siku moja ambacho ni muendelezo wa kikao kilichofanyika mwaka wa fedha 2023/24, kimeudhuriwa na Wakurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara za Kisekta na taasisi zake pamoja na Wataalam kutoka ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.