Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

UNFPA kuboresha huduma za afya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

Imewekwa tar.: May 26th, 2019

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu Duniani (UNFPA) limeongeza fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu na vifaa katika vituo vya kutolea huduma vya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma

Hayo yamesemwa na Mratibu wa Shirika la UNFPA kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bi. Dinah Atinda mara baada ya kutembelea miundombinu ya vituo vya kutolea huduma kujionea hali halisi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma

Bi. Atinda amesema mradi wa UNFPA umeweza kuboresha huduma ya afya ya Mama na Mtoto katika Mikoa ya Kagera, Shinyanga, Geita, Mwanza, Mtwara, Lindi na Simiyu na kuweza kupunguza idadi ya vifo vya wakinamama wajawazito na ongezeko la wananchi kuhudhuria vituo vya kutolea huduma

Amefafanua kuwa baada ya tafiti iliyofanywa katika Mikoa hiyo  iligundulika kuwa  wakinamama wengi wajawazito hawahudhurii  kiliniki na kutojifungulia katika vituo vya kutolea huduma kutokana  na ukosefu mkubwa wa miundombini bora katika vituo vya kutolea huduma jambo ambalo  linasababisha wengi kujifungulia kwa wakunga wa jadi  na kusababisha vifo.

Bi. Atinda amesema baada ya kuona mabadiliko hayo UNFPA iliona kuna umuhimu wa kuongeza vituo vya kutolea huduma katika mikoa ambayo idadi ya wanawake waliokuwa wakihudhuria Kiliniki kuwa ndogo ukiwemo Mkoa wa Dodoma.

Amesema Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ni miongoni mwa Halmashauri ambayo nayo inatatizo la wakina mama wajawazito  kutokuudhuria kiliniki na kujifungulia kwa wakunga wa jadi hivyo Mradi wa UNFPA kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa wameamua kufanya maboresho ya vituo vya kutolea huduma kwa Halmashauri hiyo ili kupunguza vifo vya Mama na Mtoto na kuboresha huduma za afya.

 “Miundombinu mibovu, kutokuwa na vifaa na vifaa tiba ni changamoto kubwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya za Halmashauri ya Wilaya cha Chamwino hivyo baada ya kuliona hilo shirika la UNFPA limeona umuhimu wa kujenga miundombinu ya vituo hivyo ili kuboresha huduma za afya katika Halmashauri hiyo” Amesema Bi. Atinda

Ameendelea kufafanua kuwa ili kuweza kujengewa miundombinu ya vituo vya kutolea huduma kunavigezo ambavyo vinapaswa kuangaliwa ikiwemo  umbali wa vituo vya kutolea huduma kutoka kwenye kituo cha Rufaa, uwepo wa idadi kubwa ya wananchi, idadi ya wakinamama wanaojifungulia kwenye kituo hicho cha kutolea huduma na idadi ya wakinamama wanaohudhuria kiliniki

Aidha amesema kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino itajengewa vituo vya kutolea huduma za afya vinne kwa kujengewa miundombinu, vifaa na magari ya kubebea wagonjwa.

Na.   Angela Msimbira Chamwino - DODOMA


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.