Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Tuzo ya Mameya na Wenyeviti wa Halmashauri kutolewa Juni 20 mwaka huu

Imewekwa tar.: February 24th, 2019


Na Mathew Kwembe, Dodoma

Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT imesema kuwa inatarajia kumtangaza Meya au Mwenyekiti wa Halmashauri itakayofanya vizuri katika hafla ya utoaji wa tuzo hiyo kwa mwaka huu itakayofanyika tarehe 20 juni, 2019 huko jijini Mwanza.

Kaimu Katibu Mkuu wa ALAT Taifa bwana Abdallah Ngodu alieleza jana kuwa lengo ni kuzipongeza halmashauri zilizofanya vizuri lakini pia kuzibaini halmashauri zilizofanya vibaya ili kuangalia namna ya kuzisaidia halmashauri hizo ili nazo zifanye vizuri.

Alisema kuwa ALAT itaangalia njia mbalimbali ya kuzisaidia halmashauri zitakazobainika kufanya vibaya ikiwemo kuzijengea uwezo kwa njia ya mafunzo ili nazo ziweze kufanya vizuri miaka ijayo.

“Kwa halmashauri ambazo hazifanyi vizuri tutazibainisha na tutataka kujua kwa nini hazifanyi vizuri na tukishajua sababu tuweze kutengeneza afua za kuzinyanyua hizi halmashauri ambazo hazifanyi vizuri ili nazo zifanye vizuri,” alisema

Aliongeza kuwa halmashauri zitapimwa kwa vigezo mbalimbali mathalani kama halmashauri ili kuwa imelenga kukusanya kiasi cha bilioni nne badala yake ikakusanya bilioni moja tutataka kujua kwa nini haikuweza kufikia malengo yake.

“Sisi ALAT tutatumia kigezo cha kufikia malengo ya halmashauri na ndiyo suala ambalo mara kwa mara limekuwa likisisitizwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo kwa nini malengo hayakufikiwa, kwa hiyo tunaangalia tatizo ni nini? Ni uongozi au ukosefu wa ubunifu,” alisema na kuongeza:

“Tuzo ya viongozi wa serikali za Mitaa inaangalia pia namna halmashauri zilivyo na ubunifu katika utoaji wa huduma kwa wananchi na ukusanyaji wa mapato,” alisisitiza bwana Ngodu.

Alisema ALAT kwa kushirikiana na wadau wakishabaini tatizo uangalia namna ya kulitatua, mathalani kama tatizo ni mafunzo huangalia namna ya kutoa mafunzo kwa viongozi ili kuwajengea uwezo na kama tatizo ni uongozi kama kuna uwezo wa kubadilisha mfano watendaji wataishauri serikali ifanye hivyo lakini kwa upande wa viongozi wa kisiasa kama madiwani wataona namna ya kuwapa mafunzo.

Bwana Ngodu alisema ALAT inataka halmashauri zote 185 nchini ziwe na uwezo wa kujiendesha zenyewe kimapato badala ya kutegemea kwa zaidi ya asilimia 90 mapato ya serikali kuu.

Aliongeza kuwa lazima kiwango cha chini kilichowekwa kwa halmashauri kifikiwe ndiyo malengo makuu ya tuzo hii.

Hii itakuwa ni mara ya tatu kwa tuzo hizo kutolewa kwani mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2015 wakati tuzo hizo zilipoanza kutolewa ambapo mshindi alikuwa Manispaa ya Kinondoni.

Mara ya pili tuzo hizo zilitolewa mwaka 2016 ambapo tuzo hiyo ilichukuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, iliyopo mkoa wa Shinyanga.

“Mwaka huu itakuwa ni mara ya tatu kuitoa tuzo hiyo ambapo halmashauri itakayoibuka mshindi wa jumla tutaizawadia tuzo hiyo,” alisema

Aliongeza kuwa mbali na halmashauri itakayoshinda tuzo ya jumla pia kutakuwa na zawadi kwa makundi manne ya halmashauri za Majiji, Manispaa, Halmashauri za Miji na Halmashauri za Wilaya.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.