• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Tabora yaibuka kinara wa mashindano ya UMITASHUMTA 2019

Imewekwa tar.: July 3rd, 2019

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Mkoa wa Tabora umefanikiwa kuwa mshindi wa jumla wa mashindano ya UMITASHUMTA 2019 baada ya timu zake kufanikiwa kufanya vizuri na hivyo kujipatia alama nyingi kuliko mikoa mingine 25 iliyoshiriki mashindano hayo mwaka huu.

Kwa mujibu wa matokeo ya washindi wa UMITASHUMTA mwaka 2019, mkoa wa Tabora ulifanya vizuri katika mchezo wa goli kwa wasichana ambapo walishika nafasi ya kwanza, netiboli walishika nafasi ya pili, na kwaya walishika nafasi ya pili.

Kutokana na matokeo hayo mkoa wa Tabora ulifanikiwa kuwa wa kwanza baada ya kujizolea jumla ya alama 153, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mkoa wa Dar es salaam baada ya kujinyakulia alama 147.5.

 Mkoa wa Dar es salaam umekuwa ukifanya vizuri kwa kushika nafasi ya kwanza katika kipindi cha miaka mitano iliyopita mfululizo, ambapo kwa mwaka huu, timu zake zilifanya vizuri katika michezo ya mpira wa goli wavulana kwa kushika nafasi ya kwanza, mpira wa mikono wavulana nafasi ya tatu, fani za ndani nafasi ya kwanza, wavu nafasi ya tatu na soka wameshika nafasi ya pili

Nafasi ya mshindi wa tatu imechukuliwa na mkoa wa Mara baada ya kupata alama 143.7 ambazo zimetokana na ushindi kwenuye michezo ya usafi na nidhamu wavulana kwa kushika nafasi ya kwanza, riadha wasichana nafasi ya pili, mpira wa mikono wavulana na wasichana nafasi ya kwanza na soka wasichana nafasi ya pili.

Mkoa wa Mwanza ulishika nafasi ya nne ambapo timu zake zilifanya vizuri kwenye michezo ya riadha wasichana walishika nafasi ya kwanza, ngoma nafasi ya pili na soka kawaida nafasi ya tatu.

Nafasi ya tano ilichukuliwa na mkoa wa Geita ambapo timu yao ya soka iliifunga Dar es salaam kwa njia ya penati, huku nafasi ya sita ilikwenda Mbeya, Morogoro ilichukua nafasi ya saba, Manyara ilishika nafasi ya 8, Tanga ikashika nafasi ya 9 na Mtwara ilishika nafasi ya kumi.

Mkoa wa Kilimanjaro ulishika nafasi ya 11, Dodoma 12, Shinyanga 13, Pwani 14, Kagera 15, Lindi 16, Arusha 17, Simiyu 18, Songwe 19, Kigoma 19 na 20 Kigoma.

Mikoa mingine ni Singida iliyoshika nafasi ya 21, Katavi 22, Ruvuma 23, Iringa 24, Rukwa 25 na Njombe 26

Kilele cha mashindano ya UMITASHUMTA kilihitimishwa jana katika uwanja wa Nangwanda sijaona kwa hotuba ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo

Matangazo

  • Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023 June 05, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.