• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

SOMO LA TEHEMA LIMERAHISISHA UTOAJI WA ELIMU MASHULENI KUPITIA MEWAKA

Imewekwa tar.: May 19th, 2022

Asila Twaha, Urambo

Serikali inatambua umuhimu wa somo la TEHAMA katika Sekta ya Elimu hasa kwa kutumia kama nyenzo ya kuongeza maarifa na ujuzi katika ufundishaji na ujifunzaji ndio mana mafunzo mbalimbali kwa sasa yanatolewa kwa njia ya masafa ili walimu waweze kuendana na wakati wa sasa.

Hayo amesema Mwezeshaji wa Mafunzo Endelevu Kazini (MEWAKA) Bi. Paula Soko wakati wa mafunzo yanayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya  Urambo Mkoani Tabora yakiwa na lengo la kuwajengea uwezo walimu na kujua lengo la  mafunzo hayo.

Soko amesema, pamoja na upitishwaji katika miongozo minne ambapo ni miongozo ya tathmini ya mahitaji ya walimu, uanzishwaji wa vituo vya MEWAKA, utekelezaji katika ngazi za shule na vituo vya walimu na usimamizi wa MEWAKA, somo la TEHAMA kwa walimu limefungua ufahamu mkubwa wa kuweza kupata njia  za ujifunzaji na ufundishaji kwa watoto wetu.

Vilevile Soko ameeleza katika kujua miongozo hiyo lakini pia walipitishwa katika moduli  ambapo wamezipata katika mfumo wa Kieletroniki kupitia TEHAMA  walimu wameweza kusoma kwa vitendo kwa kuweza kutumia simu janja na kopyuta kwa kuweza kupata "materials" zilizoandaliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania.

“Ni toe wito walimu wenzangu dunia ya ya sasa  inataka tufahamu vitu vingi nafahamu wengi tunatumia simu janja tuzitumie vizuri kwa faida tutakuwa na uwezo wa kujiendeleza wenyewe tukiwa kazini tutapata mambo mengi katika kufanya kazi zetu” amesema Soko

Naye Mratibu wa Mafunzo Mkoa wa Tabora Bw. Inyasi Kanisi ameishukuru Serikali kwa kwa mafunzo hayo kuendelea Mkoa huo amesema Halmashauri tano zinaendelea na mafunzo  Urambo, Uyui, Igunga, Kaliua na Sikonge aidha, ameeleza jumla ya washiriki 1157 wamepata mafunzo na anaamini kwa idadi hiyo wataenda kuwa mfano mzuri kwa wengine  kwa kuwaelekeza.

Mshiriki wa Mafunzo ya MEWAKA Mwl. Baraka Kisesebe amesema mpango uliokuja wa kuwezesha walimu hasa kutumia ufundishaji wa mtandao utawasaidia kupata vitabu  vya kufundishia na mbali ya vitabu  wataweza kujiendeleza kielimu hata kama wapo mbali wataweza kusoma kwa kutumia njia ya masafa.

“ Tunaiomba Serikali iendelee kuwekeza katika miundombinu ya elimu na upatikanaji wa mawasiliano sehemu ambazo hazina ili walimu tuwe na urahisi  wa kuweza kupata mawasiliano sababu mbali ya kuwa na simu janja lakini  inatakiwa iwe na uwezo wa kupata mtandao”


Matangazo

  • Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023 June 05, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.