Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

SITOSITA KUMCHUKULIA HATUA ATAKAEJIUSISHA NA UBADHIRIFU WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 - Mhe. Mchengerwa

Imewekwa tar.: September 21st, 2024

Na. James K. Mwanamyoto, OR-TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema hatosita kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria maafisa maendeleo ya jamii, wasimamizi wa fedha, waratibu wa mikopo, wahasibu na maafisa TEHAMA wa Mikoa na Wilayq ambao watabainika kujihusisha na ubadhirifu wa fedha za mikopo ya asilimia 10 zinazotolewa na Halmashauri kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wanye ulemavu.

Waziri Mchengerwa ameyasema hayo leo Jijini Dodoma katika ukumbi wa Chuo cha Mipango, wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ambayo inatokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri zote nchini.

 “Mikopo hii inatolewa na Serikali kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanaweke, vijana na watu wenye ulemavu ili waweze kujikomboa kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali, hivyo sitosita kuwachukulia hatua watakaokwamisha makundi lengwa kupata mikopo,” Mhe Mchengerwa amesisitiza.

Mhe. Mchengerwa amesema mikopo hii ikisimamiwa vizuri na kuwafikia walengwa itabadilisha maisha ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, hivyo amewataka washiriki wa mafunzo hayo waende kutoa elimu ya namna bora ya kuitumia mikopo hiyo kuboresha maisha yao ili waweze kufanya marejesho kwa wakati na kuwezesha wengine kunufaika.

Waziri Mchengerwa amewataka wasimamizi wa mikopo ya asilimia 10 kuratibu utoaji wa mikopo hiyo kwa uzalendo ili iwanufaishe walengwa na iwe na tija kwa jamii na maendeleo ya taifa kwa ujumla kama ilivyo kusudiwa na Serikali.

Mpaka kufika mwaka wa fedha 2024/25  fedha ambazo zimetengwa kutoka kwenye marejesho ya mikopo ya nyuma pamoja na mapato ya ndani ya Halmashauri tangu utoaji wa mikopo hii ulipositoshwa ni zaidi ya shilingi bilioni 160 kwa Halmashauri zote nchini na fedha hizi zitatumika kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, pamoja na usimamizi wa mikopo hiyo.

Ikumbukwe kuwa mikopo hii inatokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri zote nchini.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MIKOA YAENDELEA KUWASILI IRINGA KUSHIRIKI MASHINDANO YA UMITASHUMTA 2025

    June 07, 2025
  • OR – TAMISEMI yasisitiza ubunifu katika kuwekeza Miradi ya Maendeleo - Kimoleta

    June 07, 2025
  • SIMAMIENI MAABARA ZOTE ZA HOSPITALI ZA HALMASHAURI ZIPATE  ITHIBATI 

    June 07, 2025
  • MCHENGERWA: HAKUNA FURSA KWA WANAFUNZI KUBADILI SHULE WALIZOPANGIWA

    June 06, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.