Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali Yatoa Ajira Mpya 4,549 kwa Walimu na Maelekezo Yake

Imewekwa tar.: February 28th, 2019

Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imetoa fursa ya ajira zaidi ya elfu nne kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari  ili kupunguza changamoto ya uhaba wa walimu mashuleni nchini.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OR-TAMISEMI) Mhe.Selemani Jafo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika  ukumbi wa Reform uliopo katika ofisi za OR - TAMISEMI Jijini Dodoma.

Mhe. Jafo amesema kuwa sasa ni wakati wa walimu wenye sifa kuchangamkia fursa ya ajira kwa kutuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi mtandao cha http://ajira.tamisemi.go.tz (Online Teacher Employment Application System-OTEAS).

“Muombaji awetayari kufanya kazi sehemu yoyote kwani sisi tutapanga kulingana na maeneo yenye uhitaji wa walimu wenye sifa husika katika maeneo hayo kwani sisi ndio tunajua wapi kuna upungufu wa walimu” ameeleza Mhe.Jafo

Mhe.Jafo ametoa  wito kwa waombaji  wote watakaopata nafasi hizo kwenda kufanya kazi kwa moyo mmoja na weledi wa juu ili kuhakikisha watanzania wananufaika na elimu inayotolewa na wao, na hapo changamoto ya uhaba wa walimu katika sekta ya elimu itakuwa imetatuliwa.

Aidha, Mhe. Jafo amesema Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma, Walimu wa Shule za msingi Daraja la IIIA wenye Astashahada ya Ualimu, Walimu Daraja la IIIB wenye Stashahada (Diploma) ya Ualimu katika masomo ya Kiingereza, Uraia, Historia, Jiografia na Kiswahili.

Walimu wa Daraja la IIIC wenye Shahada ya Ualimu kwa masomo ya Kiingereza,  Uraia,  Maarifa ya Jumla (General Studies), Historia, Jiografia na Kiswahili.

Huku sifa nyingine ya walimu wa shule za msingi ikiwa ni mwalimu wa Daraja la IIIC wenye Mahitaji Maalum aliyehitimu shahada ya ualimu kwa masomo ya Englishi, Civics, General studies, history, Jeiography na Kiswahili.

Huku sifa za walimu wa shule za Sekondari ni walimu wa Daraja  la IIIC wenye shahada  ya ualimu waliosomea elimu maalum, Walimu Daraja la IIIB wenye shahada (Diploma) ya Ualimu waliosomea elimu maalum, walimu wa Daraja IIIB wenye shahada, Daraja la IIIC katika masomo ya Sayansi ya Kilimo, Uchumi wa Nyumbani (Home Economics), Fizikia, Hisabati, Kemia na Biolojia.

Mhe. Jafo ameongezea kuwa sifa za jumla kwa waombaji ni sharti awe mtanzania, awe amehitimu kati ya mwaka 2014 hadi 2017 isipokuwa kundi maalum la wahitimu wa Elimu ya Ualimu wa masomo ya Fizikia na Hisabati hawa hawana muda maalum wa kuhitimu, lakini asiwe na umri wa miaka 45 wakati anatuma maombi na walimu waliowahi kuomba na hawakupata nafasi, wanapaswa kutuma maombi upya.

Amehitimisha kwa kusema barua zote za maombi ziambatishwe na nakala ya vyeti vya taaluma, utaalamu na kuzaliwa ambapo mwisho wa kupokea maombi hayo ni tarehe 15 mwezi Machi, 2019.

                                                                 Anaandika Fred Kibano na Majid Abdulkarim

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.