• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

SERIKALI KUJENGA UCHUMI SHINDANI

Imewekwa tar.: November 23rd, 2022

Na. Asila Twaha, OR- TAMISEMI

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhandisi Gilbert Moga amesema Serikali kupitia mpango wa maendeleo awamu ya tatu wa miaka mitano 2021/22 hadi 25/26 kwa nia thabiti imekusudia kujenga uchumi shindani wenye kutoa huduma bora kwa jamii na kuwaletea maendeleo watanzania.

Moga ameyasema hayo Novemba 23, 2022 Dodoma wakati akifungua semina ya Fedha, Utawala, Bora na Uwajibikaji kwa Mamlaka Serikali za Mitaa kwa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), iliyobeba kauli mbiu ya wajibikaji ni nguzo ya maendeleo ya Serikali za mitaa hivyo masuala ya rasilimali fedha, uwajibikaji wa serikali za mitaa katika kutoa huduma kwa wananchi, ni muhimu katika kuwahudumia wananchi.

Ameeleza kuwa, Serikali kupitia mpango wa maendeleo awamu ya tatu wa miaka mitano 2021/22 hadi 25/26 kwa nia thabiti imekusudia kujenga uchumi shindani wenye kutoa huduma bora kwa jamii na kuwaletea maendeleo watanzania.

Alisema Serikali imekusudia kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha miundombinu ikiwemo ya usafiri, upatikanaji wa nishati, kuendelea kuimarisha mazingira ya ufanyajibiashara na uwekezaji ili kuwezesha ushindani wa sekta binafsi.

Moga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonesha nia ya kutatua tatizo la huduma za jamii katika Mamalaka za Serikali za Mitaa, kwa kutoa kipaumbele cha fedha za miundombinu ya huduma za jamii ikiwemo afya, elimu ya msingi na sekondari na miundombinu muhimu ya barabara, katika sehemu mbalimbali hapa nchini.“

" Mfano kwa mwaka 2022/23 jumla ya Sh. trilioni 2.99 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika Halmashauri” amesema Moga

"Natoa wito  kuhakikisha fedha hizi zinasimamiwa ipasavyo na kuhakikisha thamani ya fedha inaonekana na miradi inakamilika  kwa wakati kama ilivyopangwa."

Aidha, Mhandisi Moga amesema  Serikali imeimarisha ukaguzi wa wakati hatua ambayo itapunguza upotevu wa mapato ya Serikali na kuongeza usimamizi madhubuti katika kusimamia fedha za miradi hasa fedha zinazopelekwa katika Mamalaka za Serikali za Mitaa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

"Ofisi ya Rais, TAMISEMI iko tayari kutoa ushirikiano Chama cha Wahasibu Tanzania katika masuala ya kifedha na maeneo mengine ambayo yatasaidia kuhakikisha wataalamu wetu wanajangewa uwezo kulingana na mabadliko ya tekinolojia."

Moga pia ametoa wito kwa wahasibu, maafisa manunuzi na maafisa mipango na wakaguzi wa ndani kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa juhudi, weledi na uzalendo ili kuongeza tija katika maeneo yao ya kazi na kusaidia Taifa kuifikia malengo yaliyokusidia.

Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi Msaidia Idara ya Serikali za Mitaa upande wa fedha, Ummy Wayayu aliwataka wataalamu hao kuhakikisha wanatumia mafunzo waliyopata kuongeza tija na kuleta matokea chanya katika Serikali za Mitaa.

“ Kwa hiyo uwepo wenu hapa si wa kubahatisha ni uwepo sahihi kwa hivyo tunaimami mkishatoka hapa mtaenda kuleta matunda na matokeo chanya katika Halmashauri zetu.” amesisitiza Wayayu

Naye Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA), CPA Peter Mwambija ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa wafanya biashara lakini pia ameiomba Serikali kuendelea kuweka udhibiti wa upotevu wa fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, AWAMU YA PILI 2023 September 20, 2023
  • TANGAZO LA KUTWA KAZINI September 13, 2023
  • Terms of Reference TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS PROJECT (TACTIC) September 01, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA MPYA 2023 AWAMU YA PILI August 30, 2023
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO KWA SHULE MPYA ZA SEKONDARI,2023 August 25, 2023
  • KUSIMAMISHWA KAZI KWA MKURUGENZI WA BUHIGWE July 12, 2023
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATAALAM WA ELIMU

    September 18, 2023
  • DKT. SAMIA ASHANGAZWA NA HALMASHAURI KUSHINDWA KUJENGA JENGO LA X-RAY

    September 17, 2023
  • SHULE ZA MSINGI 1,000 KUJENGWA NCHI NZIMA

    September 17, 2023
  • TRILIONI 6.5 ZATEKELEZA MIRADI YA ELIMU, AFYA NA MIUNDOMBINU

    September 15, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.