• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Sekta zatakiwa kushiriki kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa

Imewekwa tar.: January 19th, 2019

Sekta zote nchini zatakiwa kushiriki katika kudhibiti magonjwa yasiyoambukizwa ili kuisaidia jamii katika kujiepusha na madhara makubwa yanayojitokeza   na kupunguza gharama kubwa zinazotumika kwa matibabu.

Hayo yamesemwa na wadau wa afya wanaojishughulisha na magonjwa yasiyoambukizwa kwenye Kikao  cha  tathmini  ya utekelezaji wa mpango Mkakati wa mwaka 2015/2020 wa udhibiti wa magonjwa yasiyoambukizwa  na kutoa  mwelekeo wa nini kifanyike  kwa sasa na baadaye kiichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa , Jijini Dodoma

 Wakichangia mada ya nini kifanyike kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa wadau hao wamesema Serikali  inajukumu ya kuhakikisha huduma  za afya  zinaboreshwa kwa kujenga miundombinu ya msingi, kufanya utambuzi wa haraka wa magonjwa  na  kutoa tiba kwa wakati kwa  jamii  ili kudhibiti  magonjwa hao.

Akifafanua zaidi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.  James Kiolowe amesema kuna haja ya kushirikisha Sekta mbalimbali katika kupunguza changamoto mbalimbali zinazosababisha magonjwa yasiyoambukizwa nchini ili kila mmoja awe na jukumu la kulinda afya za jamii nchini.

“Umefika wakati Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kuwa wao ni watunga sera washirikishe Wizara nyingine kama Kilimo, ardhi, Mazingira ili kuhakikisha wanahusika katika kutatua changamoto za afua za afya na kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa nchini “Anasema Kiolowe

Wakati Huohuo Dkt. Msafiri Kabulwa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ameitaka jamii kushirikishwa kwa kina juu ya madhara yatokanayo na magonjwa yasiyoambukizwa nchini ili kupunguza vifo vya vijana na watoto ambao wengi wamekuwa wakiadhirika na magonjwa hayo.

“Ufike wakati jamii ishirikishwe kikamilifu katika kuhakikisha wanadhibiti magonjwa ili kupunguza vifo kwa jamii. kwa kuwa kinga ni bora kuliko tiba ” Anafafanua Kabulwa

Naye Katibu wa Chama cha Kisukari Tanzania Prof.Kaushik Ramaiya   amesema kuwa upo umuhimu wa jamii kupatiwa elimu juu ya madhara yatokanayo na magonjwa yasiyoambukizwa, hii itasaidia kupunguza vifo na gharama ya matibabu kwa jamii.

“Wananchi wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika kutafuta matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza wakati elimu ndio msingi wa kuwasaidia kujikinga na Maradhi mfano jamii inatumia gharama kubwa sana kumtibu mgonjwa mwenye kisukari kuliko kuzuia ugonjwa huo.”Anafafanua Profesa Kaushik

Aidha Rais wa Chama cha madaktari wa meno Tanzania Dkt. Ambige Mwakatobe amesema kunaumuhimu wa jamii kuhakikisha wanafuata ulaji wa vyakula  vinavyofaa ili kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa kama vile kisukari na kansa.





Matangazo

  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Miongozo ya Operesheni Anwani za Makazi March 24, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • SOMO LA TEHEMA LIMERAHISISHA UTOAJI WA ELIMU MASHULENI KUPITIA MEWAKA

    May 19, 2022
  • Bashungwa apongeza ongezeko la Mishahara kwa watumishi nchini

    May 18, 2022
  • WALIMU WAMEIOMBA SERIKALI KUENDELEA NA MAFUNZO YA MEWAKA

    May 17, 2022
  • BASHUNGWA ATOA SIKU 30 TARURA KUFANYA USANIFU WA BARABARA YA SUCA - GOLANI ILI IWEKEWE LAMI.

    May 14, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.