• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Nzunda Aagiza Kuacha Vitendo vya Udanganyifu Mitihani Kidato cha Nne

Imewekwa tar.: November 13th, 2018


Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Tixon Nzunda ametoa maagizo kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Watendaji wa Elimu na Mamlaka za Elimu nchini kusimamia taaluma ili kumaliza tatizo la madawati na kudhibiti vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani.

Nzunda ametoa kauli hiyo alipotembelea shule ya sekondari ya wasichana Kibondo iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma ambapo amesema hivi karibuni kumekuwepo na vitendo vya udanganyifu katika mitihani kuanzia shule za msingi na sekondari jambo ambalo halitavumilika.

Nzunda amesema kuwa hatavumiliwa mtumishi yeyote yule atakayebainika kupokea rushwa na kufanya udanganyifu kwenye mitihani ikiwa ni pamoja na mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa nchini kote kwani kwa kufanya hivyo tunajenga Taifa la watu wasio na ushindani na wasio na maadili na wezi.

“katika mitihani ya kitaifa sitaki udanganyifu bali uadilifu, mtumishi yeyote atakaye jihusisha na udanganyifu na kubainika, huyo tutamwondoa katika Utumishi wa Umma, msifanye udanganyifu bali simamieni maadili”

Nzunda amesema tayari Maafisa Elimu4, Maafisa Taaluma 4, Waratibu Kata 19 na baadhi ya Wakuu wa shule wamechukuliwa hatua kwa kupatikana na hujuma katika mitihani nchini

Pia amewataka Maaafisa Elimu na Wakurugenzi nchini kuacha kuzalisha madeni mapya ya watumishi katika Mamlaka zao kwani kwa kufanya hivyo wanaipa Serikali mzigo mkubwa wa madeni jambo ambalo halitavumilika.

Katika ziara hiyo pia amewaagiza Maafisa Elimu na Wakurugenzi katika mikoa yenye miradi ya Equip pamoja na shule shikizi kuwa inahakikisha inamalizia miradi yote yakiwemo madarasa na madawati kwa wakati mara ili ifikapo januari, 2019 ili wanafunzi wote watakaochaguliwa kuingia kidato cha kwanza wanaanza masomo mara moja.

Mkuu wa shule hiyo Bi. Ruth Msweth ameishukuru Serikali kupitia mradi wake wa kukarabati shule kongwe nchini kuwa umeondoa changamoto lukuki zilizokuwa zinawakabili kama vile kuwepo kwa maji mpaka mabwenini, ujenzi wa madarasa na maabara mpya, ukarabatim wa miundo mbinu mingine na kuendelea kutenga bajeti ya elimu bila malipo kwani inasaidia kuendesha taaluma bila shida yoyote.

Naibu Katibu Mkuu Tixon Nzunda (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI yupo mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi akijionea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na miradi ya elimu na miradi ya kuboresha mazingira ya biashara (Local Investment Climate).

          Anaandika Fred Kibano


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.