Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Nimeridhishwa na usimamizi wa ujenzi wa vituo vya afya nchini

Imewekwa tar.: April 4th, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Joseph Pombe Magufuli ameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa usimamizi  wenye weledi  katika ujenzi na ukarabati wa vituo vya kutolea huduma za Afya Nchini.

Ameyasema hayo leo kwenye uzinduzi wa Kituo cha Afya cha Mbonde katika Halmashauri Mji wa Masasi, Mkoani Mtwara kwa niaba ya vituo 352 vya kutolea huduma nchini ambavyo vimejengwa katika Halmashauri zote nchini.

Mhe. Magufuli amesema kuwa Serikali imetenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya kutolea huduma lakini Wizara hizo mbili zimeweza kusimamia kwa weledi utekelezaji wa ujenzi wa vituo hivyo.

“Kutengwa kwa fedha ni sula la msingi lakini usimamizi wa fedha ni suala muhimu sana hivyo  nimeridhishwa na usimamizi uliofanywa na Wizara hizi mbili  ambapo ujenzi umefanyika kwa kiwango kikubwa na  usimamizi huo unaacha alama kwa nchi na kupunguza kero za miundominu ya afya nchini” Amesema Mhe. Magufuli

Mhe. Magufuli amewapongeza watumishi wa  OR-TAMISEMI  na Wizara ya Afya kwa kujitoa kwa hali na mali katika kusimamia na kuhakikisha vituo vya afya vinakamilika kwa wakati na viwango vya juu na kuanza kutoa huduma kwa jamii ili kuwahudumia wananchi maskini nchini.

 “Panapostahili kupongezwa napongeza hadharani bila kificho na sitasubiri mpaka mtu afe, kwa kweli Wizara hizi mbili wamesimamia kazi ya ujenzi wa vituo vya afya kwa umakini mkubwa na wamefanyakazi nzuri” Amesisitiza Mhe. Magufuli

Amesema kuwa kwa gharama ya shilingi milioni 500 wameweza kujenga Wodi ya Wazazi, Jengo la Maabara, Chumba cha kuifadhia maiti,  chumba cha Mionzi na Jengo la upasuaji hivyo nimeridhishwa na matumizi ya fedha zilizotolewa na Serikali na wadau wa maendeleo katika Sekta ya afya

Mhe. Magufuli amewapongeza Wataalam wa afya nchini  kwa kufanyakazi kwa weledi na moyo wa kujitolea na kuwataka  kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii maskini ambao ndio wenye uhitaji mkubwa wa huduma za afya nchini.

Aidha Mhe. Magufuli amefafanua kuwa gharama zilizotumika katika ujenzi wa vituo 352 ni shilingi bilioni 184 hivyo amewashukuru wananchi, wadau wa maendeleo kwa kujitoa kwa moyo  kuleta maendeleo katika Sekta ya afya nchini.

Wakati Huohuo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa sekta ya afya ni eneo linalogusa wananchi wa hali ya nchini hivyo serikali iliamua kuwekeza katika sekta ya afya ili kuleta mabadiliko katika jamii.

Amesema tangu uhuru kulikuwa na Hospitali za Serikali 77 katika Halmashauri 185,  vituo vya afya 535 ambapo viliyokuwa na uwezo wa kufanya upasuaji ni  vituo vya afya 118  hali hii ilikuwa ikisababisha vifo vya mama na mtoto pale anapohitaji kujifungua kwa njia ya upasiaji kwa kuwa walikuwa wakitembea muda mrefu kufuata huduma hizo katika Hospitali za Rufaa.

Aidha Mhe Jafo amesema katika miezi 18 ya ujenzi wa vituo vya afya nchini Serikali imeweza kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya afya ambapo mpaka sasa vituo 352 vimeweza kujengwa na vinaweza kufanya huduma ya upasuaji.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.