Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Naibu Katibu Mkuu ahimiza Ushirikiano katika kazi

Imewekwa tar.: May 3rd, 2018

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu bwana Tixon Nzunda amewaasa watumishi wa ofisi hiyo kufanya kazi kwa bidii na kwa weledi ili waweze kutimiza malengo waliyojiwekea ya kutoa huduma kwa wananchi kwa ufanisi zaidi.

Akizungumza wakati wa kikao cha baraza la wafanyakazi kilichofanyika jana katika ukumbi wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, nje kidogo ya jiji la Dodoma, Bwana Nzunda alisema kuwa kutokana na Ofisi hiyo kupewa majukumu makubwa ya kiutendaji, watumishi wana wajibu wa kufanya kazi kwa kushirikiana katika kujenga umoja wa ofisi hiyo.

Alisema kuwa watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI wanapaswa kuzingatia maadili na misingi ya utoaji huduma bora na kujiepusha na vitendo vya rushwa na wakumbuke kuwa Ofisi hiyo ipo chini ya Mheshimiwa Rais, na hivyo wanajukumu la kumwakilisha Rais vizuri katika utoaji wao huduma kwa wananchi.

Pia aliwashauri watumishi hao kujiepusha na vitendo vitakavyopelekea kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na magonjwa mengine sugu na pia aliwahimiza kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ili kuwa na afya njema itakayowawezesha kufanya kazi zao vizuri.

Wakati huo huo Naibu Katibu Mkuu amewapongeza wafanyakazi bora wa Ofisi ya Rais TAMISEMI waliochaguliwa kwa mwaka 2018, ambapo pia aliagiza wafanyakazi hao wapewe zawadi zao bila kucheleweshwa ifikapo kesho.

Pia alimpongeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Mussa Iyombe kwa maelekezo yake yaliyofanikisha kazi kubwa ya kuandaa bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI mwaka 2018.

Mapema Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Raslimali watu bwana Mrisho Mrisho alimweleza Naibu Katibu Mkuu na wajumbe wa baraza la wafanyakazi kuwa kutokana na Ofisi ya Rais TAMISEMI kuongezewa majukumu ya utendaji kazi, idadi ya watumishi katika ofisi hiyo imeongezeka na kufikia watumishi 678 hivi sasa.

Alisema kuwa idadi hiyo imejumuisha watumishi kutoka Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) na watumishi wengine wanaokuja kuimarisha idara mbalimbali za TAMISEMI.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE)  Mkoa wa Dodoma bwana John Mchenya aliwataka viongozi wa tawi la Tughe kutoka Ofisi hiyo kufanya vikao vya mara kwa mara na watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  ili wahamasike kujiunga na chama hicho.

Bwana Mchenya alisema kuwa yeye binafsi atakuwa mstari wa mbele kushiriki katika vikao hivyo ili waweze kuwahamasisha watumishi wengi wanaofanya kazi TAMISEMI ambao wametoka kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa kujiunga na chama hicho.

Anaandika Methew Kwembe OR-TAMISEMI

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MRADI WA TACTIC KUBORESHA MAZINGIRA YA KUFANYIA BIASHARA MANISPAA YA SINGIDA  

    June 02, 2025
  • Serikali yatoa Tsh. bilioni 30 kuwezesha ujenzi wa vituo vya afya kata za kimkakati

    June 02, 2025
  • SANAA ZA MICHEZO ZINAPEWA KIPAUMBELE KATIKA UMITASHUMTA & UMISSETA 

    June 02, 2025
  • UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 KUFANYIKA KITAIFA MKOANI IRINGA.

    May 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.