• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Mweli ataka Bajeti kuwa shirikishi

Imewekwa tar.: January 7th, 2020

Naibu Katibu Mkuu  anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amewataka Makatibu Tawala wasaidizi wa Mikoa wa sehemu ya mipango,  uratibu na usimamizi wa Serikali za mitaa nchini  kuhakikisha kuwa mipango ya bajeti itakayoandaliwa katika mwaka 2020/2021 inakuwa na ushirikishwaji wa kutosha na umiliki wa viongozi katika ngazi zote nchini.

Mweli ameyasema hayo katika ufunguzi wa kikao kazi cha Makatibu Tawala wasaidizi wa Mikoa wa sehemu ya mipango, uratibu na usimamizi wa Serikali za mitaa nchini kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano uliyopo katika ofisi za TAMISEMI jijini Dodoma.

Mweli amesema ushirikishwaji wa viongozi utaongeza mashirikiano katika uandaaji wa bajeti na kuboresha utendaji kazi ili kufikia malengo na kuandaa bajeti inayogusa mahitaji ya wananchi katika Mkoa husika.

“Uandaaji wa mipango na bajeti kipindi hiki umerahisishwa kwa kuwepo na mifumo ya Kieletroniki ya PlanRep kwa halmashauri na CBMS kwa Mikoa , hivyo hatuna sababu za kuwa na mipango na bajeti isiyokidhi viwango” Ameeleza Mweli.

Pia  Mweli ameongezea kuwa Makatibu Tawala kuzingatia maelekezo ya viongozi wa kitaifa wafanyapo ziara katika maeneo yao ya kazi, vipaumbele vya Mkoa kulingana na fursa zilizopo na kuhakikisha maandalizi ya bajeti yanalenga kuimarisha utoaji wa huduma  katika  ngazi ya vituo vya kutolea huduma na uendeshaji wa Serikali katika ngazi ya msingi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI John Cheyo amesema kila halmashauri inatakiwa kuwasilisha orodha ya miradi ya maendeleo kuanzia 2016 mpaka 2019 inayotekelezwa katika halmashauri zao.

“Naimani kubwa  kikao hiki kitasaidia kuondoa changamoto mnazokutana nazo katika kuaanda bajeti  katika maeneo yenu” ameongezea Bw.Cheyo.

Akitoa neno la utangulizi katika kikao hicho  Mkurugenzi Tawala za Mikoa TAMISEMI Beatrice Kimoleta amesema ni kuwakumbusha Makatibu Tawala kufanya kazi zao kwa weledi unao takiwa ili kuleta ufanisi katika utendaji  kazi  na kuwatumikia watanzania na taifa kwa ujumla ili kuleta maendeleo na kukuza uchumi.

Naye Katibu Tawala Msaidizi  Mkoa wa Mbeya  Mwajuma Nyamkomora akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wenzake amesema kikao hicho  kimewapa mwanga katika kutekeleza majukumu yao na kimewaongezea uwezo  kutaka kuimarisha ushirikiano katika maeneo ya kazi.

“Natoa wito  kwa TAMISEMI  ni vyema utamaduni huu wa kutujengea uwezo kabla na baada ya kuaanda bajeti za mwaka husika zifanyike mara mbili kwa mwaka kabla na baada ya kuaanda bajeti ili kuwasilisha bajeti itakayoendana na matakwa ya mahitaji ya mikoa yetu” ameshauri Bi. Nyamkomora.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MJINI MAGHARIBI, PEMBA ZATWAA UBINGWA MPIRA WA MEZA

    August 17, 2022
  • ‘TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA’ BASHUNGWA

    August 17, 2022
  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.