• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Msiwe kikwazo kwa watumishi wapya- Mweli

Imewekwa tar.: January 9th, 2021

Na Atley Kuni, Ukerewe, MWANZA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI (anaye shughulikia elimu), Gerald Mweli, amewataka walimu wakuu, wakuu wa shule na maafisa elimu kata kote nchini kuhakikisha hawatengenezi  mazingira ya walimu wapya kuchukia vituo vya kazi.

Mweli ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na Wakuu wa Shule, Walimu wakuu na waratibu elimu kata, wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, anasema watendaji hao wanawajibu wa kuwapokea   na kuonesha moyo wa ukarimu walimu wanaopangiwa kufanya kazi katika maeneo yao na si kutengeneza mazingira yatakayowafanya wachukia vituo kazi.

Anasema  moja ya vyanzo vinavyochangia baadhi ya watumishi walimu kuomba uhamisho ni pamoja na vikwazo na manyanyaso wanayo fanyiwa na baadhi ya viongozi wao wanaowakuta vituoni.

“ Ndugu zangu lazima tufahamu kuwa tunao wapokea kazini wengine ni watoto wetu kutokana na kuhitimu masomo yao wakiwa bado na umri mdogo hivyo suala la kuwakarimu na kuwatunza ni muhimu sana, ili mtumishi aweze kuyafurahia maisha ya kazi.


Kwa upande wao walimu na waratibu elimu  wanaiomba serikali, kuona uwezekano wa kuajiri walimu  wa maeneo husika ili kuepusha watumishi kuomba uhamisho wa mara kwa mara.

Ombi hilo lilitolewa na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Mibugo, Mtesigwa Bulega wakiwasilisha sehemu ya hoja zao mbele ya Naibu Katibu Mkuu.

Aidha, akijibu hoja hiyo, Mweli anasema katika wakati mfupi ujao Wizara itakamilisha mfumo wa uhamisho na hivyo itakuwa ndio suluhu yakudumu.


Bulega pia  anaiomba serikali kuona umuhimu wa uwepo wa shule maalum ya bweni kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum.

hata hivyo Mweli , aliwahakikisha viongozi hao atalifikisha  katika mamlaka zingine ili suluhu ipatikane.


Akihitimisha kikao hicho, Naibu Katibu Mkuu Mweli amewaagiza, Wakuu wa Shule hao na waratibu elimu kata, kuhakikisha wanatumia mfumo wa PREM na PREMS kama ilivyo elekezwa ili kuweka kumbukumbu na taarifa za wanafunzi kwenye utaratibu unao kubalika.


“Tarehe 11 Januari, 2021, shule zitakapokuwa zinafunguliwa, taarifa zote ziwe katika utaratibu unaotakiwa, kushindwa kufanya hivyo tutahesabu unataka kutengeneza wanafunzi hewa” amesisitiza Mweli.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe,  Mh. Cornel Magembe, akitoa amewapongeza waalimu wote kwa ujumla katika wilaya ya Ukerewe kwa juhudi wanazoendelea kufanya katika kunyanyua hali ya elimu kwani ni kwa miaka miwili mfululizo matokeo ya mitihani Wilaya imeshika nafasi ya nne (4) kati ya nane (8) za kimkoa.


Magembe amewasihi kuhakikisha kuwa walimu wote watakao pangiwa  kufanya kazi katika Wilaya yaUkerewe watakutana na mazingira rafiki ya wao kuishi na kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa. “mazingira yetu sio mabaya kama wengi wanavydhani bali ni kwasababu tu tupo kisiwani”

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ukerewe, bi Ester Chaula ameahidi kuendelea kushirikiana na walimu wakuu, wakuu wa shule, maafisa elimu kata lakini pia na watumishi wote watakao pangiwa wilayani ukerewe.

MWISHO

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.