• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Mara yatamba mbio za mita 400 UMITASHUMTA 2019

Imewekwa tar.: June 30th, 2019

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Wanariadha kutoka mkoa wa Mara wametamba katika mbio za mita 400 zilizofanyika leo asubuhi kwenye viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara baada ya kufanikiwa kuchukua medali za dhahabu kwenye mbio za mita 400 wavulana, na mbio za kupokezana kijiti mita 4 x 400 kwa wasichana, huku mkoa huo ukishika nafasi ya pili kwa mbio za mita 400 wasichana na kushika nafasi ya tatu kwenye mbio za kupokezana kijiti 4 x 400.

Mwanariadha Matiko Nyamaraga alifanikiwa kushinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 400 baada ya kutumia muda wa sekunde 55:28, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na Doto Mwandu wa Simiyu aliyetumia muda wa sekunde 55:50, huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na mkimbiaji Steven Stephano wa Tabora ambaye alitumia muda wa sekunde 55:72 na hivyo kufanikiwa kujishindia medali ya shaba.

Katika mbio za kupokezana vijiti wasichana, mkoa wa Mara ulijishindia nafasi ya kwanza baada ya wanariadha wake Zainabu Chacha, Anjelina Olembe, Nyanzobe Bahi na Nyairabu Chacha kufanikiwa kukimbia kwa kupokezana vijiti na kutumia muda wa dakika 4:18:97 na kuwashinda wanariadha kutoka mikoa mingine. Nafasi ya pili ilichukuliwa na wanariadha kutoka mkoa wa Mwanza ambao kwa jumla walitumia muda wa  dakika 4:20:91 na walioshika nafasi ya tatu Simiyu walitumia muda wa dakika  4:21:69.

Mkoa wa Mara ulishika nafasi ya pili kwa upande wa mbio za mita 400 wasichana baada ya mkimbiaji wake Angelina Olembe kushika nafasi ya pili ambaye alitumia muda wa dakika 1:01:85, huku aliyeshinda mbio hizo Lucia Nestory wa Mwanza ambaye alishika nafasi ya kwanza baada ya kutumia muda wa dakika 1:01: 80. Nafasi ya mshindi wa tatu ilichukuliwa na mwanariadha Johari Hussein wa Tabora ambaye alitumia muda wa dakika 1:02:22.

Kwa upande wa mbio za kupokezana vijiti wavulana mkoa wa Mara ulishika nafasi ya tatu kufuatia wanariadha wake Matiko Nyamaraga, David Paul, Josephat Maranya na Daniel Maiko kutumia muda wa dakika 3:53:45. Nafasi ya kwanza ilichukuliwa na wanariadha kutoka mkoa wa Simiyu ambao walitumia jumla ya dakika 3:51:88 huku nafasi ya pili ikienda kwa wanariadha wa mkoa wa Mwanza ambao walitumia muda wa dakika 3:52:12.

Katika mchezo wa kurusha mkuki wavulana Pascas Qurejo wa Manyara alifanikiwa kujishindia medali ya dhahabu baada ya kurusha mkuki umbali wa  mita 47 na sentimita 03, nafasi ya pili ilichukuliwa na Omary Abdallah wa Pwani ambaye alirusha umbali wa mita 38 na sentimita 93, na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Bernard William wa Pwani ambaye alirusha umbali wa mita 38 na sentimita 67.

Mashindano hayo yanatarajiwa kumalizika tarehe 3 julai, 2019 ambapo yanatarajiwa kufungwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa  na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.

Matangazo

  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Miongozo ya Operesheni Anwani za Makazi March 24, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BARABARA YA MVUMI KUWEKWA LAMI KM 3

    May 26, 2022
  • PROF. SHEMDOE AZINYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI 8 KWA KUTOKUTENGE FEDHA ZA LISHE

    May 25, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA ASIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA JIJI, MAAFISA WATANO ARUSHA

    May 24, 2022
  • WAKUU WA MIKOA SIMAMIENI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWENYE HALMASHAURI

    May 24, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.