Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Manyara, Arusha zang’ara fainali ya mita 3000 UMISSETA

Imewekwa tar.: June 28th, 2021

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Wanariadha Damian Patrick wa Arusha na Loema Awaki kutoka Manyara wameshinda fainali za mbio za mita 3000 zilizofanyika leo katika uwanja wa chuo cha ualimu Mtwara.

Patrick ambaye ameonyesha uwezo mkubwa katika mashindano ya riadha ya mbio ndefu katika UMISSETA ya mwaka huu, alishika nafasi ya kwanza kwa wavulana na alitumia muda wa dakika 8:41:91, huku aliyemfuatia Benson Masawe wa Manyara akitumia muda wa dakika 8:57:10 na nafasi ya tatu ikishikwa na Robert Mayengo wa Geita ambaye alitumia dakika 8:57:38.

Kwa upande wa wanariadha wasichana, Awaki alishinda mbio hizo akikimbia kwa muda wa dakika 10:07:81, akifuatiwa na mwanariadha kutoka Mara, Neema Siruri ambaye alitumia muda wa dakika 10:15:22, huku nafasi ya tatu ikishikwa na mwanariadha Honoratha Benedicto wa Singida ambaye alitumia muda wa dakika 10:21:22.

Kufuatia kumalizika kwa fainali za mbio za mita 3000, mshindi wa kwanza kutoka kwa wavulana na wasichana atapewa medali ya dhahabu, mshindi wa pili, fedha na mshindi wa tatu atapata medali ya shaba.

Wakati huo huo michezo mingine ya UMISSETA imeingia katika hatua ya robo fainali ambayo inatarajiwa kuanza hapo kesho na tayari baadhi ya michezo timu zilizoingia hatua hiyo zimekwishajulikana.

Kwa upande wa Volleyball timu zilizoingia hatua hiyo kwa wavulana ni Dar es salaam, Arusha, Mtwara, Tabora, Kigoma, Mbeya, Mwanza na Unguja.

Kwa mujibu wa ratiba ya michuano hiyo kesho Dar e salaam itacheza dhidi ya Kigoma, Mbeya itachuana na Arusha, wenyeji Mtwara wamepangwa kucheza na Unguja na Mwanza watacheza na Tabora.

Kwa upande wa Volleyball wasichana timu zilizofanikiwa kuingia robo fainali ni Mtwara, Tabora, Mbeya, Simiyu, Dar es salaam, Tanga, Mara, na Manyara.

Katika hatua hiyo Mtwara itacheza dhidi ya Tanga, Dar es salaam itacheza na Tabora, Mbeya imepangwa kuchuana na Manyara na Mara atacheza na Simiyu.

Katika mchezo wa mpira wa mikono, timu zilizoingia robo fainali kwa wavulana ni Tabora, Morogoro, Unguja, Dar es salaam, Tanga, Rukwa, Arusha na Geita.

Mpira wa mikono wasichana, timu zilizoingia hatua hiyo ni Morogoro, Geita, Songwe, Tabora, Mbeya, Dar es salaam, Unguja na Tanga.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.