Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mamlaka za Serikali za Mitaa zatakiwa kuweka agenda ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza.

Imewekwa tar.: November 12th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani Jafo amezielekeza Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha kila kituo cha afya nchini kinaweka ajenda ya kudumu ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza ili kuwasaidia wananchi wenye matatizo ya kiafya katika Mamlaka hizo.

Mhe.Jafo amesema hayo leo kwenye uzinduzi wa upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza yanayofanyika katika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya wiki ya kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza nchini.

“Wakurugenzi wa Halmashauri na Waganga Wakuu hakikisheni mnasimamia ajenda hii kwa weledi mkubwa ili kuimarisha afya za watanzania kwa lengo la kuinua uchumi wa taifa letu kwani bila afya bora watu hawataweza kufanya kazi kwa ubora unaotakiwa.” amesisitiza Mhe.Jafo

Mhe.Jafo amesema kuwa ni vyema kuanzisha kiliniki maalumu kwa ajili ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza katika Halmashauri ili kusaidia kubaini watu wenye magonjwa hayo kwa haraka na kuweza kupatiwa tiba sahihi.

“Kiliniki hizi zitasaidia watanzania kuweza kupata ushauri wa afya zao, upimaji wa afya na tiba juu ya magonjwa haya yasiyoambukiza lengo ikiwa ni kujenga utamaduni kwa watu kwenda wenyewe kupima kwa hiari bila kulazimishwa” ameeleza Mhe. Jafo

Mhe. Jafo ametoa rai kwa wananchi  wote  kufanya mazoezi , kula vyakula kama matunda, mbogamboga na kujiepusha na matuzi ya vyakula  vyenye wanga mwingi, sukari, chumvi na mafuta ili kujiepusha na magonjwa yasiyoyakuambukiza na  kuimarisha nguvu kazi ya taifa .

Naye Mkuu Mkuu wa Wilaya Dodoma Bw. Patrobas Katambi amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ili kulinda afya zao na kuepuka magonjwa yasiyoambikiza.

Wakati huohuo, Kaimu Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyoambukiza Dkt. Sarah Maongezi amesema maadhimisho hayo yataenda sambamba na upimaji wa afya, ushauri wa afya kutoka kwa wataalam wa afya,  matamasha ya michezo na kongamano la kisayansi litakalojadili magonjwa yasiyoambukiza litakalofanyika 12-13 Novemba , 2019 na kuzindua mpango wa kuzuia na kupambana na magonjwa yasiyoambukiza.

Aidha, kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Tutembee pamoja katika kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukizwa” lengo likiwa ni kuhimiza ushirikiano katika kudhibiti magonjwa haya kwani mapambano dhidi ya vihatarishi vya magonjwa yasiyoambukiza yanahusisha mshikamano wa sekta mbali mbali, wadau, mtu mmoja mmoja na wananchi kwa ujumla.





Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali yatoa Tsh. bilioni 30 kuwezesha ujenzi wa vituo vya afya kata za kimkakati

    June 02, 2025
  • SANAA ZA MICHEZO ZINAPEWA KIPAUMBELE KATIKA UMITASHUMTA & UMISSETA 

    June 02, 2025
  • UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 KUFANYIKA KITAIFA MKOANI IRINGA.

    May 31, 2025
  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.