Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Katibu Mkuu Ndunguru akoshwa na Proramu ya Mifumo Serikalini

Imewekwa tar.: July 4th, 2023

Na Fred Kibano, Dodoma

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Adolf Ndunguru amefungua kikao kazi cha kutambua mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa Programu ya Mifumo katika Sekta ya Umma na kusifu utekelezaji wake.  

Akifungua kikao kazi hicho mapema leo tarehe 03 Julai, 2023 katika ukumbi wa Mtakatifu Gaspar Jijini Dodoma Katibu Mkuu Ndunguru amesema baadhi ya mafanikio yaliyopatikana ni kuwawezesha Maafisa wa Halmashauri kuandaa taarifa nzuri za fedha na kupelekea Mamlaka hizo kupata Hati Safi pamoja na kuimarika mifumo ya sekta ya afya.

 “uboreshaji wa Mfumo wa usimamizi wa utoaji wa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya (GoTHoMIS) umezuia upotevu wa dawa na vifaa tiba, kudhibiti na kuongeza makusanyo ya ada ya kuchangia huduma na pia ubadilishanaji na utoaji wa taarifa kwa wakati, uwepo wa mfumo wa uandaaji wa mipango, bajeti na utoaji wa taarifa wa PlanRep umepunguza gharama za machapisho ya nyaraka mbalimbali” amesema ndunguru.

Akitoa maelezo ya awali Dkt. Emmanuel Malangalila ambaye ni Mkurugenzi wa  Programu ya Kuimarisha Mifumo ya Usimamizi katika Sekta ya Umma – Public Sector Systems Strengthening PS3+ amesema Mradi huo wa Kuimarisha Mifumo Serikalini ni wa miaka 10 na ulianza mwaka 2015 na utakamilika mwaka 2025 na matarajio ya mradi kwa upande wa wahisani ni kuona unaendelezwa katika ngazi zote ambazo ni Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mikoa na Halmashauri ambazo zote zimeanza kuutekeleza.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Toba Nguvina ametoa rai kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI na Programu ya Kuimarisha Mifumo ya Usimamizi katika Sekta ya Umma (PS3+) kuifanya mifumo mingi zaidi kuwasiliana ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa takwimu kama vile mtu ambaye yupo mkoani aweze kuona au kupata taarifa za zahanati moja kwa moja badala ya kutumia Maafisa kufuata taarifa za zahanati moja hadi nyingine ili kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji. 

Kikao kazi hicho cha siku mbili kimefadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia Mradi wa PS3+ na kina lengo la kuweka mikakati ya uendelevu katika Mifumo ya Usimamizi katika Sekta ya Umma kilichowahusisha Makatibu Tawala Mikoa, Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa Sehemu ya Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi – Management Monitoring and Inspection (MIMI) na Wataalamu wa TEHAMA wa Mikoa.

 


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.