• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

KAMILISHENI UJENZI WA MADARASA 8000 KWA WAKATI – DKT. MSONDE

Imewekwa tar.: November 18th, 2022

Na. Angela Msimbira TABORA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughukia Elimu Dkt.Charles Msonde amewataka viongozi wa Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanasimamia na kukamilisha ujenzi wa madarasa 8000 ifikapo Disemba 15,2022 ili wanafunzi wote wanaochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 wanapata nafasi.

Ametoa kauli hiyo leo Novemba 18 2022 wakati akikagua utekelezaji wa maelekezo ya Serikali  hususani kwenye miundombinu  ya shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge na Uyui Mkoani Tabora.

Dkt. Msonde amesema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha kiasi cha shilingi biilioni 160 kwa ajili ya kuhakikisha madarasa 8000 yanajengwa katika shule za Sekondari kwa lengo la kuhakikisha watoto wote wanaochaguliwa kujiunga na kidato cha Kwanza mwaka 2023 wanapata nafasi ya masomo.

Dkt. Msonde amesema watoto waliomaliza darasa la saba mwaka huu ni matokeo ya sera bila ada iliyoanzishwa mwaka 2016 na ndio wanaotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023, hivyo lengo la Serikali ni kuhakikisha madarasa yanajengwa kwa ajili ya kutatua changamoto ya madarasa nchini.

Amesema kutokana na sera hiyo, kumekuwa na ongezeko kubwa la wanafunzi  kujiunga na elimu ya  msingi hali hii imepelekea  changamoto ya miundombinu ya madarasa kwenye shule za Sekondari nchini hivyo Serikali kwa kuliona suala hilo imeweka mkakati wa kuhakikisha miundombinu ya madarasa inajengwa na kukamilika kwa wakati.

“Mwaka 2021 kulikuwa na Changamoto ya madarasa ambapo watoto waliokuwa wanatakiwa kujiunga na kidato cha kwanza walikuwa zaidi ya 970,000, ambapo uwiano wa wanafunzi wanaomaliza shule kuwa wachache ukilinganisha na wale wanaojiunga na kidato cha kwanza “amesema Dkt.Msonde

Ameendelea kufafanua kuwa mwaka 2023 wanaotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza ni milioni 1.1 wakati wanaotoka ni 430,000, kunatofauti ya wanafunzi 600, hivyo  serikali iliamua kutoa kiasi cha shilingi bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 8000 ili kuongeza madarasa kwenye shule za Sekondari

Amesema kwa upande wa tabora Serikali itajenga madarasa 565 lengo likiwa ni kukabiliana na wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha kwanza Mwaka 2023

Kuhusu suala la kuondoa tatizo la watoto kutembea umbali mrefu kufuata masomo Dkt.Msonde amesema Serikali imeweka mkakati wa kulitatua hilo kupitia mradi wa kuboresha elimu ya sekondari (Sequip) ambapo unatarajia kujenga shule za sekondari mpya 1026 ndani ya miaka mitano ambapo shule 26 zitajengwa ambapo kila mkoa kutakuwa na shule moja na shule 1000 zitajengwa katika kila kata.

Aidha, amesema katika mwaka wa fedha 2022/2023 Serikali  itatoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule 184 ambapo kila Halmashauri inapewa shule moja hivyo serikali imedhamiria kumpunguzia mtoto kutembea umbali mrefu kufuata masomo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.