Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Kamilisheni nyumba za walimu wangu mapema- Waziri Jafo

Imewekwa tar.: January 7th, 2021

Na Atley Kuni- KAGERA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo, amewataka wajenzi wa nyumba za walimu katika Shule ya Sekondari Rugambwa kukamilisha ujenzi wa Nyumba hizo za walimu unaoendelea hivi sasa ili pindi shule zitakapofunguliwa walimu hao wawe katika Mazingira bora yakuishi.

Waziri Jafo amefikia adhma hiyo muda mfupi baada yakutembelea na kugagua ujenzi wa nyumba za walimu sita unaoendelea kujengwa katika shule hiyo ambapo tarehe na muda uliokuwa umewekwa kuhusiana na ukamilishaji nyumba hizo umekwisha toka Oktoba, 2020.

“Ndugu zangu natambua kulikuwepo na changamoto ya Saruji katika kipindi cha nyuma, lakini hiyo isiwe sababu yakutukwamisha kukamilisha ujenzi huu kwa wakati, alisema Waziri Jafo, na kuongeza kuwa, “Nilitegemea kuona kazi hapa zinakwenda sambamba kulingana na asili ya ujenzi wenyewe, mathalani, wakati mafundi wengine wanaweka vigae basi wengine wanaendelea na uwekaji wa madirisha nk.

Awali akisoma taarifa ya Ujenzi huo, Mkuu wa Shule ya Sekondari Rugambwa Kagemulo Lupaka, alisema, walipokea fedha kiasi cha shilingi za kitanzania. Milioni 701,857.003 tarehe 25 Juni, 2020 kutoka Wizara ya Elimu, sayansi na Teknolojia kwa ajili ya ujenzi nyumba sita za walimu, na ujenzi ilipaswa mapema mwezi Oktoba,2020, lakini kutokana na changamoto ya ukosefu wa Saruji katika Manispaa ya Bukoba, ukosefu wa mafofali yenye viwango stahiki na kupanda ghafla kwa bei ya saruji, bati na nondo, kulisababisha kuchelewa kwa ujenzi.

Taarifa hiyo ya Mkuu wa Shule, inaonesha kuwa nyumba nne kati ya sita zipo katika hatua ya ukamilishaji na zitakabidhiwa tarehe 22 Januari, 2021, aidha nyumba moja ipo katika hatua ya kuezekwa ilihali nyumba moja ya mwisho ipo katika hatua ya msingi.

“Mhe. Waziri mradi wa nyumba sita kwa ajili ya familia tisa, katika shule ya Sekondari Rugwambwa tunakuahidi kuwa utakamilika ifikapo Februari 25,2021” ambapo Nyumba zote sita zitakuwa zimekabidhiwa kwa wahusika amesema Lupaka.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, yupo katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa kukagua shughuli mbali mbali za maendeleo, ambapo akiwa katika Manispaa ya Bukoba na Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, alikagua ujenzi wa bweni kwenye Shule ya Sekondari Bukoba, ujenzi wa nyumba sita za walimu katika Shule ya Sekondari Rugambwa pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Bukoba, ambapo sehemu zote ameonesha kuridhishwa na hali ya miradi hiyo na kuwataka waitunze idumu kwa kipindi kirefu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.