Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Jafo- Nimeridhishwa na Mradi wa Utunzaji Mazingira

Imewekwa tar.: March 28th, 2019

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo, ameridhishwa na mradi wa utunzaji wa mazingira ulioanza unatekelezwa katika vijiji 30 wilayani Kilosa mkoani Morogoro, kwa ufadhili wa nchi ya Switzeland na kuiomba Serikali ya nchi hiyo kupitia kwa balozi wake nchini Florence Tinguely Mattli, kuona namna mradi huo utakavyo weza pelekwa maeneo mengine nchini.

Akizungumza ofisini kwake, wakati wa ugeni huo Mhe. Waziri amesema Serikali kupitia OR-TAMISEMI, wameridhishwa na jitihada hizo ambazo serikali ya nchi hiyo imezifanya katika kunusuru mazingira ya Wilaya za Mkoa wa Morogoro walizoanza anza nazo

“Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kwamba, sera zilizopo zinazohusu masuala ya mazingira lakini pia utunzaji wa misitu ya asili, wataalam kutoka OR-TAMISEMI kwakushirikiana na wataalam wengine wa wizara za kisekta kuzipitia na kuona kwa jinsi gani ni rafiki na zitaweza kutumika kuupeleka mradi huu sasa maeneo mengine ya nchi” alisema Waziri Jafo.

Waziri Jafo amesema kusudio la mradi huo kupitia Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili (Tanzania Forest Conservation Group-TFCG), umejielekeza katika misitu midogo midogo ya vijiji (Ngitiri) na  inayo milikiwa na Vijiji vyenyewe.

Mradi huo wa kuhifadhi Misitu ya Asili, ulianza mwaka 2012 katika Mkoa wa Morogoro, ulikuwa na awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza ilianza Machi, 2012 hadi Novemba, 2015, ikihusisha Vijiji 10 vya Halamashauri ya Wilaya ya Kilosa; na awamu ya Pili ilianza mwezi Desemba, 2015 kwa kuongezea Halmashauri za Wilaya ya Morogoro na Mvomero awamu inayotarajia kukamilika ifikiapo Novemba, 2019.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga kupitia taarifa yake aliyoitoa mbele ya Mhe. Waziri, inaonesha hadi sasa jumla ya Vijiji 30 vinatekeleza mradi huo kwenye Mkoa wa Morogoro ambapo Vijiji 20 vikiwa ni vya Wilaya ya Kilosa na Vijiji 10 katika Wilaya ya Morogoro.

Balozi wa Switzeland nchini Mhe. Florence Tinguely Mattli, alielezea kuridhishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano inayo ongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassani na wasaidizi wao wote.

Katika hatua nyingine Balozi huyo ameahidi kushirikiana na Tanzania katika suala shughuliza za sekta ya Afya husuan ni kwenye Afya katika Afya Msingi, ambapo alisema watakuwa tayari kuwezesha Vifaa tiba pamoja na eneo la TEHAMA. Kufuatia uamuzi huo Waziri wa Nchi amemuelekeza Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga, kuwaita watendaji wa Ofisi hiyo wa Idara za Idara za TEHAMA pamoja na Huduma za Afya ili waweze kulisimamia.

Ujumbe wa Balozi wa Switzerland nchini ulimshukuru Mhe. Waziri kwa kutenga muda na kukutana nao ili kumuelezea dhamira waliyonayo katika suala zima la maendeleo ya nchi hususan ni katika sekta ya Afya na Mazingira nchini.  

Anaandika  Atley Kuni.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.