• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Jafo- Nimeridhishwa na Mradi wa Utunzaji Mazingira

Imewekwa tar.: March 28th, 2019

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo, ameridhishwa na mradi wa utunzaji wa mazingira ulioanza unatekelezwa katika vijiji 30 wilayani Kilosa mkoani Morogoro, kwa ufadhili wa nchi ya Switzeland na kuiomba Serikali ya nchi hiyo kupitia kwa balozi wake nchini Florence Tinguely Mattli, kuona namna mradi huo utakavyo weza pelekwa maeneo mengine nchini.

Akizungumza ofisini kwake, wakati wa ugeni huo Mhe. Waziri amesema Serikali kupitia OR-TAMISEMI, wameridhishwa na jitihada hizo ambazo serikali ya nchi hiyo imezifanya katika kunusuru mazingira ya Wilaya za Mkoa wa Morogoro walizoanza anza nazo

“Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kwamba, sera zilizopo zinazohusu masuala ya mazingira lakini pia utunzaji wa misitu ya asili, wataalam kutoka OR-TAMISEMI kwakushirikiana na wataalam wengine wa wizara za kisekta kuzipitia na kuona kwa jinsi gani ni rafiki na zitaweza kutumika kuupeleka mradi huu sasa maeneo mengine ya nchi” alisema Waziri Jafo.

Waziri Jafo amesema kusudio la mradi huo kupitia Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili (Tanzania Forest Conservation Group-TFCG), umejielekeza katika misitu midogo midogo ya vijiji (Ngitiri) na  inayo milikiwa na Vijiji vyenyewe.

Mradi huo wa kuhifadhi Misitu ya Asili, ulianza mwaka 2012 katika Mkoa wa Morogoro, ulikuwa na awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza ilianza Machi, 2012 hadi Novemba, 2015, ikihusisha Vijiji 10 vya Halamashauri ya Wilaya ya Kilosa; na awamu ya Pili ilianza mwezi Desemba, 2015 kwa kuongezea Halmashauri za Wilaya ya Morogoro na Mvomero awamu inayotarajia kukamilika ifikiapo Novemba, 2019.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga kupitia taarifa yake aliyoitoa mbele ya Mhe. Waziri, inaonesha hadi sasa jumla ya Vijiji 30 vinatekeleza mradi huo kwenye Mkoa wa Morogoro ambapo Vijiji 20 vikiwa ni vya Wilaya ya Kilosa na Vijiji 10 katika Wilaya ya Morogoro.

Balozi wa Switzeland nchini Mhe. Florence Tinguely Mattli, alielezea kuridhishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano inayo ongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassani na wasaidizi wao wote.

Katika hatua nyingine Balozi huyo ameahidi kushirikiana na Tanzania katika suala shughuliza za sekta ya Afya husuan ni kwenye Afya katika Afya Msingi, ambapo alisema watakuwa tayari kuwezesha Vifaa tiba pamoja na eneo la TEHAMA. Kufuatia uamuzi huo Waziri wa Nchi amemuelekeza Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga, kuwaita watendaji wa Ofisi hiyo wa Idara za Idara za TEHAMA pamoja na Huduma za Afya ili waweze kulisimamia.

Ujumbe wa Balozi wa Switzerland nchini ulimshukuru Mhe. Waziri kwa kutenga muda na kukutana nao ili kumuelezea dhamira waliyonayo katika suala zima la maendeleo ya nchi hususan ni katika sekta ya Afya na Mazingira nchini.  

Anaandika  Atley Kuni.



Matangazo

  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Miongozo ya Operesheni Anwani za Makazi March 24, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BARABARA YA MVUMI KUWEKWA LAMI KM 3

    May 26, 2022
  • PROF. SHEMDOE AZINYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI 8 KWA KUTOKUTENGE FEDHA ZA LISHE

    May 25, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA ASIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA JIJI, MAAFISA WATANO ARUSHA

    May 24, 2022
  • WAKUU WA MIKOA SIMAMIENI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWENYE HALMASHAURI

    May 24, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.