Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

JAFO AWATAKA TEMEKE KUKAMILISHA MIRADI YA DMDP KWA UBORA

Imewekwa tar.: July 20th, 2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo ameendelea na ziara ya kikazi katika Mkoa wa Dar es Salaam na leo ametembelea  Manispaa ya Temeka kukagua maendeleo ya mradi wa uboreshaji wa miundombinu unaotekelezwa kupitia mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (DMDP).

Akiwa katika ziara hiyo Mhe. Jafo ametembelea na kukagua ujenzi wa masoko ya kisasa yanayojengwa katika Kata ya Kijichi na  Mbagala Kuu, Kituo cha Mabasi madogo sambamba na  Ujenzi wa barabara za mitaa inazojengwa kwa kiwango cha Lami katika Kata hizo.

Akitembelea maeneo ya miradi Mhe. Jafo alisisitiza ubora wa miradi hiyo pindi itakapokamilika na kuwataka Wakandarasi wajenzi kukahikisha wanaongeza umakini na kuzingatia ubora katika kila hatua ya ujenzi huku wakijali muda uliowekwa wa ukamilishaji wa miradi hiyo.

“Fedha za miradi hii  zipo zinasubiria kazi tu ikamilike lakini sio kukamilika chini ya kiwango. Kinachotakiwa na nyie wakandarasi mnazingatia Mikataba mliongia mwanzoni kabla hamjaanza kazi na kufikia viwango vile vilivyowekwa ili Fedha itakayolipwa iendane na kazi iliyofanyika” alisema Mhe. Jafo.

Akiwa katika Soko la Kijichi Mhe, Jafo amesema ameridhishwa na ujenzi unaondelea ila pia amewataka uongozi wa Temeke pamoja na Mkandarasi kutoa ajira ndogondogo kwa vijana wa maeneo hayo ili nao waweze kujikwamua kiuchumi.

Akizungumza katika ziara hiyo Mbunge wa Jimbo la Temeke Mhe. Issa Mangungu amesema hatasubiria tena Mhe. Waziri Jafo aje kukagua miradi hii ndio na yeye afike kwenye maeneo hayo bali ataweka ratiba katika kila wiki kuhakikisha anapitia miradi yote kuona maendeleo ya ujenzi na kuhakiki ubora wa miundombinu hiyo itakayoongeza thamani ya Manispaa ya Temeke kwa ujumla.

Akisoma taarifa ya Utekelezaji wa Miradi Mratibu wa Dmdp Manispaa ya Temeke Edward Haule amesema  kwa sasa wameanza kutekeleza  mradi huu katika Kata 8  kati ya 23 zinazohusika na katika maeneo yote hayo wanaboresha miundombinu msingi  ambayo ni kichocheo cha ustawi wa jamii husika.

Katika Kata ambazo zimetembelewa leo na Mhe. Waziri Jafo hususan ni Kata ya Kijichi kazi zinazoendelea ni ujenzi wa barabara 13 zenye urefu wa Km 18.7, Soko moja lenye uwezo wa kuchukua wafanyabiashara 200, kituo kimoja cha daladala, mfumo wa maji utakaohudumia wakazi zaidi ya 300,000 na taa za barabarani 700  kwa gharama ya Tsh Bil. 22.

Aliongeza kuwa katika Kata ya Mbagala Kuu kazi zitakazofanyika ni ujenzi wa barabara 12 zenye urefu wa Km 12, soko moja lenye uwezo wa kubeba wafanyabiashara  zaidi ya 290, kituo cha daladala, mfumo wa maji utakaohudumia wakazi zaidi ya 400,000 na Taa za barabarani 600 kwa gharama ya Tsh Bil. 19.

Miradi hii itakayoleta manufaa makubwa kwa Manispaa ya Temeke na kwa wananchi kwa ujumla  inategemewa kukamilika mapema mwezi Januari mwaka 2019.


Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.