• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

JAFO aridhishwa na Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mji mwema

Imewekwa tar.: January 22nd, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa usimamizi wenye weledi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mji Mpya iliyopo katika kata ya Lukobe, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Ameyasema hayo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa shule ya Sekondari ya Mji mpya, iliyojengwa na Serikali mara baada ya kuvunjwa kupisha ujenzi wa Reli ya kisasa  inayounaoendelea Mkoani Morogoro.

Mhe. Jafo amesema ameridhishwa  na ujenzi wa Shule hiyo  ambayo imejengwa kwa  kiwango cha hali ya juu na kwa kufuata maelekezo ambayo yamekuwa yakitolewa na Serikali wakati wa Ujenzi..

Amewataka wakandarasi wote nchini pindi wanapopatiwa kazi na Serikali  kuhakikisha wanatenda haki kwa kujenga kwa viwango vinavyotakiwa na  kufuata ubora  uliotolewa na Serikali ili shule hizo zidumu kwa muda mrefu

Mhe. Jafo amesema Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye ujenzi wa miundombinu bora ya elimu nchini, hivyo ni wajibu wa kila kiongozi kuhakikisha wanasimamia kwa weledi  ili kuweza kupata majengo bora na imara.

Wakati huohuo amewaagiza wanafunzi wote nchini  wanafunzi wote nchini kuhakikisha wanatunza miundombinu ya shule hiyo ili shule hizo zitumike kwa muda mrefu bila kuharibiha

“Sasa wanafunzi washindwe wenyewe, kama wazazi, Serikali na nchi kwa ujumla imeamua kuwajengea shule ya Kisasa ni wajibu wao sasa kulinda miundombinu na kusoma kwa bidi ili kuongeza ufaulu nchini.” Amesema Mhe. Jafo

Amewataka wanafunzi kuhakikisha wanalinda miundombinu ya shule, Mwanafunzi akiharibu miundombinu lazima alipe na atachukuliwa hatua za kinidhamu, lengo likiwa ni kuziwezesha shule hizo kudumu kwa muda mrefu.  

Mhe. Jafo pia ameutaka uongozi huo kuhakikisha wanawekeza kwenye elimu hasa katika suala zima la ufaulu wa wanafunzi ili kuondokana na changamoto ya elimu nchini

“Haiwezekani shule inawalimu 57 halafu kunakuwa na ufaulu wa daraja la kwanza mwanafunzi wa 5  hiyo haiwezekani, waalimu timizeni wajibu wenu, tumieni  taaluma milizonazo katika kutoa elimu iliyobora nchini na wanafunzi timizeni wajibu wenu wa kusoma kwa bidi  “Amesisitiza Mhe. Jafo

Aidha ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inahakikisha wanaweka makakati wa kutokomeza Ziro ili kuweza kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Halmashauri hiyo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Erasto Ole Sanare amesema tayari Mkoa umeshajiwekea mkakati wa kutokomeza ziro  Mkoani hapo  kwa kuwataka wakuu wote wa Shule kuhakikisha wanaongeza ufaulu  mashuleni kwao na kupunguza  ziro ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi Mkoani hapo.

“Nitawachukulia hatua waalimu wakuu wote ambao watashindwa kufaulisha wananfunzi Mkoani Morogoro ili kujenga nidhamu ya elimu mkoani hapa na kuongeza kiwago cha ufaulu” amesisitiza Sanare

Amesema ni jambo la aibu kwa mwalimu mkuu kuwa katika uongozi kwa muda wa miaka 15 lakini bado shule yake inaoongoza kwa kutoa ziro, serikali haitafumbia macho bali itawachukulia hatua za kinidhamu  waalimu hao.



Matangazo

  • Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023 June 05, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.