• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

HPSS-Tuimarishe afya, UDOM zaungana kuimarisha afya

Imewekwa tar.: December 6th, 2021

AMID wa Shule Kuu ya Uuguzi na Afya ya Jamii Chuo Kikuu cha Dodoma, Dkt. Stephen Kibusi  amesema  waratibu wa afya ngazi ya mikoa ni muhimili katika kuleta mabadiliko kwenye afua za afya  hivyo wanawajibu wa kusimamia suala zima la uimarishaji wa afya kwa jamii

Akifungua mafunzo ya siku 5 ya Uimarishaji afya kwa waratibu wa Afya Mikoa  Dkt.Kibusi amesema kuwawezesha waratibu wa Afya wa Mkoa kutasaidia kuleta mabadiko chanya kwa jamii na kutasaidia afua za afya kuujulikana na kutekelezwa  kwa mujibu wa sera na miongozo ya Serikali.

Amesema kuwa jamii ikielewa umuhimu wa uimarishaji wa afya itasaidia kupunguza magonjwa ambayo yamekuwa ni kikwazo katika maendeleo nchini kwa kuwa jamii yenye afya duni hushindwa kutekeleza majukumu yao kikamilifu kutokana na maradhi

Dkt. Kibusi amesema uwepo wa mifumo mizuri kuanzia ngazi ya watunga sera hadi watekelezaji  kutasaidia suala zima la uimarishaji wa afya nchini  na kuwa taifa imara lenye jamii yenye afya bora ambao wanaweza kutekeleza majukumu yao kimilifu na kuleta maendeleo kwa mtu binafsi na taifa kwa ujumla  

Aidha, amesema maudhui ya mafunzo hayo yatasaidia kuziwezesha timu za Mikoa kuwa na nguvu ya kusimamia  na kuratibu suala zima la uimarishaji afya nchini, hii itasaidia katika kupambana na magonjwa ya mlipuko yanayojitokeza nchini.

Ameendelea kusema kuwa  magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto nyingine ambayo inahitaji kuwekewa mkazo kwenye suala zima la  utoaji wa elimu ya kutosha kwa jamii ili kujenga jamii kujitambua, kudhibiti magonjwa yanayotokana na ulaji na mtindo wa maisha.

“ Tunahitaji kuwa na makakati wa timu za Waratibu wa Mkoa ambazo zitasaidia katika kulitekeleza jambo hilo.”

Naye Mratibu wa Afya Jamii Kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Martha Mariki amesema kuwa Serikali inawajibu wa kuwekeza katika suala zima la afya ya jamii kwa kuwa asilimia kubwa magonjwa yanasumbua sana katika sekta ya afya kwa kuwa afya ya jamii haijakaa katika nafasi yake.

“ Kama waratibu wa afya ya jamii hawajakaa katika nafasi yao vizuri tutegemee magonjwa mengi ya mlipuko na magonjwa mengine yanayoweza kuzuilika, hivyo wanawajibu wa kusimama katika nafasi zao ili afya za jamii ziweze kuimarika na kujenga jamii yenye afya bora katika Sekretarieti za mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.”

Awali, Meneja Mradi wa HPSS-Tuimerishe Afya, Ally Kebby amesema pamoja na kufadhili mafunzo hayo, pia wametoa vifaa mbalimbali va kujifundishia na kujifunzia kwa Chuo Kikuu cha Dodoma vyenye thamani ya Sh milioni 21.

Alisema vifaa hivyo vitasaidia kuboesha kuboresha kazi ya kutoa mafunzo ya afya  na utafiti ili kusaidia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto pamoja na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na wadau wengine  katika mipango  ya kuimarisha afya.



Matangazo

  • Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023 June 05, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.