• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Dkt. Magembe asimama kidete Mapato, huduma kinga

Imewekwa tar.: May 25th, 2021

Na Mwandisi wetu DAR ES SALAAM

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, anayeshughulikia Afya Dkt. Grace Magembe, amewataka watendaji katika Mkoa wa Dar es Salaam, kuwekeza zaidi katika suala la Afya kinga sambamba na kutilia mkazo wa ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vya katolea huduma.

Dkt. Magembe ametoa maelekezo hayo muda mfupi, mara baada yakufanya ziara ya kikazi katika Hospitali ya Wilaya ya Kigamboni na kukagua shughuli za kiutendaji kwenye Hospitali hiyo kisha kufanya mkutano wa pamoja ulio wakutanisha watendaji wa Mkoa na kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam.

“Nataka mhahakikishe mnafuatilia utoaji wa huduma za kinga na tiba kwenye maeneo yenu, lakini sula lingine ni usimamiaji wa karibu wa mapato na matumizi ya vituo vya tiba pamoja na vyanzo vingine vyote vya mapato” Amesema Magembe.

Dkt. Magembe amesema, Mkoa wa Dar es Salaam, ni lazima asilimia 60 ya mapato ya ndani yaelekezwe kwenye miradi ya maendeleo inayoonekana kwa macho na yenye matokeo chanya katika kutatua   changamoto za wananchi.

Kuhusiana na utatuzi wa kero kwa wananchi Dkt. Magembe amewaagiza watendaji hao, kuhakikisha wanaweka utaratibu mzuri wa kupokea kero za wananchi ikiwepo masanduku ya maoni pamoja na namba za simu za viongozi zibandikwe kwenye mbao za matangazo maeneo ya kutolea huduma sehemu za wazi.

Naibu katibu mkuu ametumia nafasi hiyo kuwaagiza wakurugenzi wote kufanya ukaguzi kwenye vituo vya tiba, na maeneo yote yanayokusanya fedha za serikali na kuangalia kama kuna matumizi ya fedha yamefanyika kabla ya fedha hizo kuwasilishwa benki, aidha watakao bainika kufanya hivyo wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.

Naibu Katibu Mkuu huyo ambaye yupo katika ziara ya kikazi kwenye Mkoa huo, amewaagiza waganga wakuu wa Mikoa kote nchini, kuhakikisha wanawasilisha taarifa za vizazi na vifo vya wajawazito na watoto wachanga kwenye vikao vya menejimenti vya Sekreatriati za mikoa na waganga wakuu wa halmashauri kufanya hivyo kwenye vikao vya menejimenti ndani ya halmashauri ili kuwa na uelewa wa pamoja katika kuchukua hatua za haraka za kiutendaji.

Katika ziara hiyo, ambayo ilikwenda sambamba na mafunzo kwa Wakurugenzi yaliyo endeshwa na Dkt. Grace, Watendaji hao wamempongeza kwa hatua hiyo, kwani imewasaidia kujua mambo mengi hasa katika utaratibu wa utoaji wa huduma za afya, na katika kuhitimisha Naibu Katibu Mkuu amemuelekeza Mfamasia katika Halmashauri ya Kigamboni kuendeleza elimu hiyo.

Hii ni ziara ya kwanza kwa Naibu Katibu Mkuu, toka ateuliwe kushika wadhifa huo mapema mwaka huu, akichukua nafasi iliyo achwa wazi na Dkt. Dorothy Gwajima, ambaye kwa sasa ni Waziri wa Afya.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • REJESHENI MIKOPO ILI WENZENU WAPATE KUKOPA –KAMATI YA LAAC

    March 31, 2023
  • LAAC YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA UKARABATI SHULE YA SEKONDARI WASICHANA MTWARA

    March 31, 2023
  • KAMATI YA LAAC YAKAGUA MADARASA 7 YALIYOJENGWA KWA MAPATO YA NDANI NA NGUVU ZA WANACHI - MANISPAA YA SUMBAWANGA

    March 31, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.