• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Dkt. Gwajima Awaasa Watumishi Kuzingatia Sera ya Ugatuaji katika kazi zao

Imewekwa tar.: January 10th, 2019

Watumishi wametakiwa kuwa na uelewa wa kazi wanazofanya kuanzia ngazi ya kijiji hadi Taifa ili kuimarisha uratibu mzuri, uwazi, utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku na kufanya watanzania wajivunie uwepo wao katika nafasi hizo.

Hayo yamebainishwa leo na Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima wakati wa kikao chake cha kwanza baada ya mapokezi yaliyohudhuriwa na menejimenti na watumishi wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI jijini Dodoma leo.

“Sisi watumishi ndio ramani ya watanzania kuweza kufikia chachu ya maendeleo ya nchii hii, hivyo tukiratibu na kutekeleza majukumu yetu kwa ufasaha ni haki yetu kupata matokeo chanya ya maendeleo ya nchi hii” Amesema Dkt.Gwajima.

Dkt.Gwajima amesema lazima serikali ijenge mfumo mzuri wa uratibu na utekelezaji wa majukumu yake kuanzia ngazi ya kijiji hadi Taifa kwani ndio njia stahiki ya kuweza kupata Tanzania yenye maendeleo na kufanya watanzania kujifunia Utanzania wao.

Akiongea katika kikao cha menejimenti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati wa kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu (Afya) Dorothy Gwajima, Kaimu Katibu Mkuu Tixson Nzunda Ofisi ya Rais - TAMISEMI), amesema ili mtumishi wa Umma aweze kutimiza majukumu yake ya kila siku ni lazima atambue kuwa yeye ni wakili wa anaowahudumia, mratibu wa matokeo chanya, awe mcheshi kwa jamii anayoihudumia na yeye ajihisi ni sehemu moja wapo ya jamii hiyo.

Katika hatua nyingine kwenye kikao maalum na watumishi wa Idara ya Afya, Dkt. Gwajima amewaasa watumishi wa Idara ya Afya Ofisi ya Rais -TAMISEMI kuuvaa uhusika wa jamii wanayoitumikia katika kutekeleza majukumu yao ili kupata chachu ya kufanya kazi kwa ufanisi, juhudi na kutoa huduma bora kwa watanzania.

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Dkt. Ntuli Kapologwe amempongeza Dkt. Gwajima kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo kwa niaba ya Idara yake ambapo ameahidi watampa ushirikiano wa kutosha ili kuhakikisha watanzania wanapata huduma bora za afya kuanzia ngazi ya kijiji hadi Taifa na kwamba wapo tayari kupokea maelekezo yote ya Serikali.

Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wakurugenzi na watumishi wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mkurugenzi wa Kitengo cha Ukaguzi na Ufuatiliaji wa Fedha katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa OR-TAMISEMI Miriam Mmbaga amesema kuwa ameguswa na mfumo aliokuja nao Dkt. Gwajima wa kutaka uratibu, uwazi, utekelezaji na ugatuzi wa madaraka kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Taifa na kwamba utaleta chachu ya matokeo bora katika kutekeleza majukumu yao.

Dkt.Gwajima ameteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo jana kuwa Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkurugenzi wa Tiba wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

                                Anaandika Majid Abdulkarim na Fred Kibano


Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BASHUNGWA AWAAGIZA VIONGOZI WA MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUTANGAZA MIRADI YA MAENDELEO.

    July 02, 2022
  • Mameya, Wenyeviti wa Halmashuri watoa kongole kwa Rais Samia kuibadili Dodoma

    June 30, 2022
  • MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI SIMAMIENI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO- PROF. SHEMDOE

    June 30, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAFUNDA MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI

    June 27, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.