Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Dkt. Gwajima Atua Dar na Kampeni ‘Coordination’

Imewekwa tar.: February 17th, 2019

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dkt. Dorothy Gwajima, amefanya ziara mkoani Dar-Es-Salaam huku akiendeleza kampeni yake ya kufanya kazi kwa ushirikiano aliyoianza mkoani Dodoma kwakuwataka watendaji serikali kutambua na kuheshimu ubunifu wa mtumishi mmoja mmoja.

“Viongozi wote ngazi zote tuzidi kuungana kutambua juhudi za kila mtumishi na hasa junior Staff, kwani ipo siri kubwa katika nguvu ya kutambua na kupongeza amabapo hata changamoto zitageuka kuwa fursa” alisema Gwajima

Gwajima alisema kuwa, mapungufu na uhaba vitageuka kuwa fursa kwakua macho na akili ya ndani vitafunguka na kukabiliana na hayo yote na kupata ufumbuzi wa matatizo mbalimbali katika sehemu za kazi wanapo watia moyo watumishi.

Katika ziara yake ya kwanza, aliyoifanya mkoani Dodoma Dkt.Gajima alikutana na Sekretarieti ya mkoa huo chini ya katibu Tawala wa Mkoa na hatimaye kufanya kikaokazi na Kamati ya Afya ya Mkoa, ambapo katika vikao vyote viwili alihimiza utendaji kazi wa pamoja (coordination, Harmonization, Involvement and Motivation)

Katika ziara hiyo ya Mkoa wa Dar-Es-Salaam, alipongeza jitihada za mtumishi Muuguzi Sarah John wa Zahanati ya Malambamawili Kata ya Msigani, Manispaa Ubungo kwa jitihada zake alizo onesha katika utendaji uliotukuka hasa katika kuhamasisha watu kwenda kwenye huduma za afya.

Dkt. Gwajima. Alisema, Muunguzi Sarah John katika Zahanati hiyo amekuwa chachu yakuhamasisha wateja wao kwa kuwatungia nyimbo, kuimba na kucheza nao hali iliyo pelekea watu katika Kata hiyo kumpenda kwa uwezo wake huo wakuhamasisha na kuwafanya watu wengi kuhudhuria katika huduma za afya kwenye kituo hicho kilicho anzishwa Julai, 2018 ndani ya kata hiyo.

“Siyo Rahisi kwa Muuguzi kujishusha hadi kucheza na wateja wake, inahitaji Moyo wa kupenda kazi, kulipenda taifa na uzalendo wa hali ya juu kutoka Moyoni” alisema Gwajima.

Bi. Sarah amekuwa akienda sambamba na Kauli mbiu ya Mhe. Rais yakutaka kila mtu azae bila kupangiwa idadi ya watoto, ila wazingatie malezi kwa wototo atakao wazaa kwa kuwapatia huduma za msingi.

Hii imekuwa ni ziara yake ya pili tokea Dkt. Gwajima, ateuliwe na Mhe. Rais kushika wadhfa Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI (Afya) ambapo katika ziara hiyo, waliungana na uongozi wa Kata ya Msigani na wananchi na watendaji kisha kufanya hamasa ya watu kushiriki katika huduma za afya msingi huku rai yake kubwa akiilekeza kwenye kufanya kazi kama timu moja ili kufikia maendeleo endelevu kwa watu kuwa na afya njema.

Anaandika, Atley Kuni- OR-TAMISEMI


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Msovela: Fanyeni Kazi Kama Timu Kuleta Maendeleo

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.