• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Dkt. Chaula awapa somo wadau wa afua ya vipimo na tiba ya Malaria

Imewekwa tar.: December 12th, 2018

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya Dkt. Zainabu Chaula amewataka Wadau wa Afua ya Vipimo na Tiba ya Malaria na Wataalamu wa Idara ya Afya kuwekeza katika utekelezaji wa afua ya uangamizaji wa viluwiluwi wa mbu waenezao malaria “Larviciding”

Dk. Chaula amebainisha hayo leo jijini Dodoma katika kikao cha Wadau wa Afua ya Vipimo na Tiba ya Malaria na Wataalamu wa Idara ya Afya OR-TAMISEMI kilichofanyika katika ukumbi wa Refum, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Dkt. Chaula amesema kuwa ili kufikia lengo la kutokomeza Malaria lazima tutambue tumetoka wapi, tuko wapi na tunaenda wapi kwa kufanya tathmini kupitia takwimu zilizopo na kufanyia kazi baada ya kujua takwimu za sasa.

“Tumepewa dhamana na majukumu ya kuwatumikia watanzania hivyo ni wajibu wetu sote tulopewa majukumu kuhakikisha tunawatumikia watanzania kwa usawa ili kila moja aweze kufikia lengo kwani adhima yetu ni moja kama watanzania” Alisema Dk. Chaula.

Dkt. Zainabu Chaula amewataka wadau wote walioshiriki kikao hicho kuwekeza rasilimali fedha katika utekelezaji wa Afua ya Vipimo na Tiba ya Malaria ili kupunguza maambukizi ya Malaria nchini.

 Dkt.Chaula amewataka kuwa wawazi, kuongeza ushirikiano na usawa baina ya Wadau, Waratibu wa Malaria Mikoani na Wilayani na Idara ya Afya OR-TAMISEMI ili kujua nini kina fanyika, wapi na wakati gani na nani anafanya nini kwa nafasi yake ili kuleta utendaji bora katika kutokomeza ugonjwa wa Malaria nchini.

Naye a Kaimu Mkurugenzi Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe OR-TAMISEMI Jumanne Mwasamila amesema kuwa wamepokea maagizo na watayafanyia kazi  kwa lengo la kuhakikisha wanafikia malengo katika kutokomeza Malaria nchini.

Wakatihuohuo Mratibu wa Malaria na Uthibiti wa Mbu anayebeba vimelea vya Malaria “Vector Control” kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bi. Stella Kajange amesema kuwa lengo la kikao hicho ni  kuwasilisha kazi wanazofanya katika utekelezaji wa Afua za matibabu na vipimo vya Malaria.

“Kupata tathimini ya matarajio yaliyofikiwa na ambayo hayajafikiwa kutafutiwa njia bora za utekelezaji ili yaweze kufikiwa na kuhakikisha tunatokomeza Malaria” Alisema Kajange.

Aidha kikao hicho kilihudhuriwa na Wizara ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe, National Malaria Control Program (MNCP), Wataalamu wa Idara ya Afya OR-TAMISEMI, Waratibu wa Malaria Wiliaya za Chamwini, Geita, Kibondo na Kasulu, Clinton Health Accesses Initiative, (CHAI), USAID Boresha Afya, SHOP PLUS na GHSC.




Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.