Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Chaula Ataka Mikoa Kuhuishwa na Mfumo Mpya wa Mafunzo wa MUKI

Imewekwa tar.: August 23rd, 2018

Naibu katibu Mkuu anayeshughulikia afya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) Dkt. Zainab Chaula, ameshauri wawezeshaji wa Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki (MUKI), kuusambaza mfumo huo katika mikoa yote bila kubagua ili kupata Viongozi bora kutoka mikoani.

Chaula ameyasema hayo leo wakati wa kikao kazi cha uwasililishaji wa matumizi ya Mfumo wa Ujifunzaji Kieletroniki (MUKI) Ofisini kwake Ofisi ya Rais TAMISEMI Jijini Dodoma.

“Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki uende mbali Zaidi, viongozi wakuu wa Serikali pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lazima waujue ili kuhakikisha mfumo unaimarika na kuleta tija”, alisema Dkt. Chaula.

Ameshauri mafunzo hayo yawe ya lazima kwa madiwani wote nchini mara baada ya kuchaguguliwa ili kuhakikisha uwajibikaji katika maeneo yao ya kazi kwa kipindi chote cha miaka mitano ya uongozi wao.

Naye Kiongozi wa timu ya Utawala Bora wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Dkt. Peter Kilema, ambao pia wamefadhili mradi huu, amesema mradi huo ambao ulibuniwa na Serikali ya Marekani kwa kushirikiana na Tanzania ili kuboresha mifumo ya sekta ya Umma nchini pamoja na Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki (MUKI) ili kuimarisha utendaji kazi wa watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Naye Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dkt. Martin Madale alisema chuo hicho kimeshirikiana na Chuo kikuu Huria, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) kuwezesha Mfumo wa Ujifuzaji wa Kieletroniki kwa madiwani nchini.

“Awali mafunzo hayo yalikua ni ya ana kwa ana jambo ambalo lilileta changamoto ikiwemo gharama za kuwawezesha madiwani kushiriki mafunzo na uharibifu wa mazingira” alisema Dkt. Madale.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Chuo kikuu Huria Dkt. Edephonce Ngemera, alkiwasilisha mada ya mfumo huo, amesema mfumo huo utakuwa rahisi kutumia kwani umetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili na pia halmashauri zitachaguliwa watu maalum wakiwemo maafisa TEHAMA ili kutoa mafunzo stahiki kwa madiwani watakaojifunza kupitia mfumo huo.

Akitoa mchango wake wakati wa kikao hicho Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Charles Mhina alisema wanahakikisha mafunzo haya ya madiwani yawe endelevu katika halmashauri zote nchini na kwa halmashauri ambazo hazipo kwenye mradi wa PS3 ili kusukuma uwezo na utawala bora kwa viongozi wa Serikali za Mitaa nchini.


                                     Wanaandika Magdalena Dyauli na Fred kibano - OR  TAMISEMI

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.