• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Chaula Ataka Mikoa Kuhuishwa na Mfumo Mpya wa Mafunzo wa MUKI

Imewekwa tar.: August 23rd, 2018

Naibu katibu Mkuu anayeshughulikia afya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) Dkt. Zainab Chaula, ameshauri wawezeshaji wa Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki (MUKI), kuusambaza mfumo huo katika mikoa yote bila kubagua ili kupata Viongozi bora kutoka mikoani.

Chaula ameyasema hayo leo wakati wa kikao kazi cha uwasililishaji wa matumizi ya Mfumo wa Ujifunzaji Kieletroniki (MUKI) Ofisini kwake Ofisi ya Rais TAMISEMI Jijini Dodoma.

“Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki uende mbali Zaidi, viongozi wakuu wa Serikali pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lazima waujue ili kuhakikisha mfumo unaimarika na kuleta tija”, alisema Dkt. Chaula.

Ameshauri mafunzo hayo yawe ya lazima kwa madiwani wote nchini mara baada ya kuchaguguliwa ili kuhakikisha uwajibikaji katika maeneo yao ya kazi kwa kipindi chote cha miaka mitano ya uongozi wao.

Naye Kiongozi wa timu ya Utawala Bora wa Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Dkt. Peter Kilema, ambao pia wamefadhili mradi huu, amesema mradi huo ambao ulibuniwa na Serikali ya Marekani kwa kushirikiana na Tanzania ili kuboresha mifumo ya sekta ya Umma nchini pamoja na Mfumo wa Ujifunzaji wa Kieletroniki (MUKI) ili kuimarisha utendaji kazi wa watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Naye Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dkt. Martin Madale alisema chuo hicho kimeshirikiana na Chuo kikuu Huria, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) kuwezesha Mfumo wa Ujifuzaji wa Kieletroniki kwa madiwani nchini.

“Awali mafunzo hayo yalikua ni ya ana kwa ana jambo ambalo lilileta changamoto ikiwemo gharama za kuwawezesha madiwani kushiriki mafunzo na uharibifu wa mazingira” alisema Dkt. Madale.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Chuo kikuu Huria Dkt. Edephonce Ngemera, alkiwasilisha mada ya mfumo huo, amesema mfumo huo utakuwa rahisi kutumia kwani umetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili na pia halmashauri zitachaguliwa watu maalum wakiwemo maafisa TEHAMA ili kutoa mafunzo stahiki kwa madiwani watakaojifunza kupitia mfumo huo.

Akitoa mchango wake wakati wa kikao hicho Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Charles Mhina alisema wanahakikisha mafunzo haya ya madiwani yawe endelevu katika halmashauri zote nchini na kwa halmashauri ambazo hazipo kwenye mradi wa PS3 ili kusukuma uwezo na utawala bora kwa viongozi wa Serikali za Mitaa nchini.


                                     Wanaandika Magdalena Dyauli na Fred kibano - OR  TAMISEMI

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.