• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Chamwino warejesha Tabasamu la Jafo

Imewekwa tar.: April 16th, 2019

Ni wiki moja sasa tangu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo (Mb) kutembelea eneo la ujenzi wa hospital ya Wilaya ya Chamwino inayojengwa katika Kata ya Mlowo ambapo alikuta kusuasua kwa ujenzi wa hospital hiyo ilihali fedha zilishapokelewa zaidi ya miezi mitano iliyopita: Hali hiyo ilimpelekea kutoa agizo la kuendelea kwa ujenzi huo haraka

Hivi leo Waziri Jafp amerejea tena katika eneo la ujenzi wa hospital hiyo na kiushuhudia ujenzi ukiwa unaendelea kwa kasi na majengo zaidi ya matatu yakiwa yameshaanza kupanda na mengine yakiwa yanakamilishwa kwenye hatua ya jamvi.

Mafundi wa kutosha wakiwa wanaendelea na shughuli za ujenzi katika eneo la Mlowo huku Menejiment ya Chamwino nayo ikitoa muongozo wa nini cha kufanya sambamba na Kamati ya Ulinzi na Usalama ikiwa inahakiki kuwa kitu kitu kinaenda kama kilivyopangwa ni miongoni mwa vitu vilivyomfanya Waziri Jafo kurejesha Imani na Halmashauri hii kuwa wamejipanga kukamilisha jengo leo ndani ya muda kama alivyoagiza.

Akizungumza katika ziara hiyo Mhe.Jafo amesema amefurahi kuona ujenzi wa Hospital ya Wilaya umefikia katika hatua nzuri na kuwataka watendaji wa Chamiwno kuendelea na kasi hiyo  ili Hospital hiyo iweze kumailika mapema na iwe yenye ubora wa hali ya juu.

“Leo naweza kuwapongeza mmefanya kazi kubwa ndani ya wiki moja niliyowapa sasa nataka ikifika tarehe 12 Mei majengo ya Hospital hii yawe yamefikia hatua siyo chini ya Lenta kwa majengo yote saba tayari kwa kuezeka na kuanzia tarehe 25 Mei majengo yote yawe yamepauliwa kwa Hospitali” alisisitiza Jafo.

Wakati huo huo Jafo ameugiza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kuanza kupanga Wilaya hiyo kwa mujibu wa sheria za mipango miji ili uweze kuendana na hadhi ya Makao Makuu ya Nchi.

“Chamwino iko karibu sana na Jiji la Dodoma na Jiji hivi sasa wanaenda kwa kasi sana katika upangaji wa maeneo, wanapima viwanja wanauza na wanaongeza mapato yao lakini sioni izo jitihada katika Wilayah ii na nyie ndipo sehemu ambapo Ikulu imejengwa mnatakiwa mjiongeze muanze kupima maeneo na kuuza ili muongeze na mapato ya Halmashauri yenu” alisema Jafo.

Aliongeza kuwa katika eneo hili la Mlowo ambapo hospital inajengwa mngenza kufanya mikutano na wananchi ili mkubalien utaratibu sahihi utakaotumika katika kupima maeneo ya wakazi lakini pia kutafuta maeneo ambayo Halmashauri inaweza kuyanunua, kuyapima na kuyauza kwa wahitaji; Mhakikishe mmetnga maeneo ya huduma za kijamii, makazi, biashara na uwekezaji hii itawasisia sana katika kuongeza mapato.

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ilipata shilingi Bil 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya Wilaya mapema mwezi Oktoba – Novemba, 2018 na mpaka sasa ujenzi huo unaendelea vizuri.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.