Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Bilioni 16 Zatolewa Kuboresha Miundombinu ya Elimu Kwenye Mikoa 17

Imewekwa tar.: August 15th, 2020

Na. Fred Kibano – Monduli na Karatu

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Gerald Mweli, amesema jumla shilingi Bilioni 16 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya vyoo kwenye mikoa 17 nchini.

Mweli ameyasema hayo jana kwa nyakati tofauti wakati akiongea na walimu na baadhi ya Viongozi wilayani Monduli na Karatu kuwa kiasi hicho cha fedha kimtengwa kukabiliana na upungufu wa matundu ya vyoo kwenye shule 600 za msingi zilizopo katika mikoa 17 na kwamba mikoa mingine yenye shule 900 pia itaendelea kupokea fedha kwa awamu zinazofuta.

“bilioni 16 zimetolewa kwa shule za msingi kati ya 1500 zinazokusudiwa ili kuboresha miundombinu ya vyoo, bilioni 20 zimelipwa kwa walimu kama malimbikizo ya mishahara na Serikali itaendelea kulipa madai ya walimu baada ya uhakiki wa mwisho kufanyika”

Akiwa wilayani Karatu ameridhishwa na kasi ya walimu wa shule ya sekondari Karatu walivyojipanga katika kuinua taaluma na ufaulu wa wanafunzi na kusema wanafunzi wote wenye utovu wa nidhamu hawakubaliki mashuleni, hii inafuatia kwa jumla ya wanafunzi 21 wa kidato cha sita kufutwa shule kutokana na utovu wa nidhamu kwa kuanzisha migomo isiyo na tija shuleni hapo hali iliyopelekea kufutwa shule siku moja kabla ya mtihani wa mwisho wa kidato cha sita 2020.

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu Msingi Ofisi ya Rais TAMISEMI Suzan Nussu amewaasa wanafunzi wa sekondari ya Karatu bweni wavulana kusoma kwa bidii na maarifa ili kutoa mchango wao kwa Taifa la kesho kwani matarajio ya nchi ni kuona wanajiunga na vyuo mbalimbali vya Elimu na fani nyingine.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Monduli Bwana Robert Amos ametoa ombi kwa Serikali la kuanzisha maktaba za kisasa ambazo zitakuwa na vitabu vya kawaida na vya nakala laini (soft books) na kuwa na maktaba mtandao katika wilaya zote nchini ili kuwainua wasomi walio kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa na Watanzania kwa ujumla wanaosomea masomo na fani mbalimbali ili kuliinua Taifa.

Naye mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Manyara bweni wilayani Monduli Bwana Epimark Emmay amesema jumla ya shilingi Bilioni 3.3 zimetolewa na Wadau wa African Wildlife Foundation (AWF) kufadhili ujenzi wa miundombinu mipya ya elimu shuleni hapo ikiwa ni pamoja na madarasa, matundu ya vyoo, nyumba za walimu, bwalo, mabweni, jiko pamoja na samani za shule na kwamba changamoto iliyobakia ni kutokuwa na usafiri wa uhakika ambao hata hivyo Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI Bwana Gerald Mweli aliahidi kulishughulikia.

Miradi aliyotembelea Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Gerald Mweli ni pamoja na shule za sekondari na shule za msingi.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.