Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

BASHUNGWA AAGIZA UKAMILISHAJI WA UJENZI WA VITUO VYA AFYA 233 KABLA YA APRILI 2022.

Imewekwa tar.: March 16th, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa  ameziagiza Halmashauri zote nchini zilizopokea fedha kuanzia mwezi Oktoba – Disemba 2021 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya 233  kuhakikisha vinakamilika ifikapo tarehe 30 Aprili, 2022.

Akiongea na Waandishi wa Habari leo tarehe 16 Machi, 2022 baada ya kukagua  maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Igawilo Halmashauri ya Jiji la Mbeya Mkoani Mbeya Waziri Bashungwa amesema  halmashauri ambazo haitakamilisha  ujenzi  hawatapewa fedha  za kuendeleza ujenzi.

Bashungwa amesema  kwa Halmashauri zitakazoshindwa kukamilisha ujenzi  kwa wakati uliotolewa na Serikali, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi  Watendaji  wa Halmashauri  watachukuliwa hatua za kinidhamu, hivyo amewaagiza Wakuu wa Mikoa yote nchini kuhakikisha wanasimamia ukamilishaji huo.

Ameagiza majengo yote ya kutolea huduma  yaliyokamilika  katika maeneo mbalimbali nchini  kuanza kutoa huduma  kwa wananchi  na sio kuyaacha na kuwa kama magofu, watakaobainika  majengo yamekamilika na hayatumiki serikali haitasita  kuwachukulia hatua.

Vilevile,  Waziri Bashungwa  amesema Jumla ya shilingi bilioni 243.9  zimetolewa  katika kipindi cha mwezi Julai 2021 hadi Februari,2022 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya kutolea huduma ya msingi .

Amefafanua kuwa fedha  kiasi cha shilingi  bilioni 113.7  ruzuku ya ndani kwa mwaka 2021/22 zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali za Wilaya 104, shilingi Bilioni 66.3 kwa ajili ya kuendeleza na kukamilisha Ujenzi wa Hospitali hizo ambazo zilianza ujenzi katika mwaka wa fedha 2018/2019 na 2019/2020.

Waziri Bashungwa ameendelelea kusema  jumla ya shilingi bilioni 21.8 kwa ajili ya ukamilishaji na ukarabari wa vituo vya afya 61, bilioni 22.6 kwa ajili ya ukamilishaji  wa zahanati 141 na ununuzi wa  vifaa tiba bilioni 3.1 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba kwenye vituo  vya kutolea huduma za afya.


Aidha, Jumla ya Shilingi billioni 44.5 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa Majengo ya dharura 80, Wagonjwa mahututi majengo 26, Kituo cha matibabu ya magonjwa ya mliopuko 1 na Nyumba za watumishi 150(3 in 1) ambazo zitachukua familia 450.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.