Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Ajira 6,949 za Walimu, 2,726 za Afya Serikali yazitangaza

Imewekwa tar.: May 9th, 2021

Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI

OFISI ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imepata kibali cha ajira za walimu wa shule ya msingi na sekondari 6,949 na kada mbalimbali za afya 2,726 watakaoajiriwa chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Maombi ya ajira hizo yataombwa kwa njia ya mtandao kuanzia Mei 9 hadi 23, mwaka huu kupitia kiunganishi cha ajira.tamisemi.go.tz.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Ummy Mwalimu, amesema ajira hizo zitajaza nafasi zilizoachwa wazi na watumishi waliokoma utumishi kutokana na sababu mbalimbali.

“Serikali imetoa kibali, maana mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kueleza kwamba atatoa ajira 6000 kwa walimu tulikuwa tunapata msukumo mkubwa kutoka kwa wananchi wakihoji kwanini TAMISEMI hatutangazi, taratibu za serikali lazima tupate kibali Menejimenti ya Utumishi wa umma,”amesema.

Hata hivyo, amesema serikali imetoa fursa kwa waombaji ambao ni walemavu kutuma maombi yao kwa nakala ngumu na yaeleze aina ya ulemavu wao na picha zao na kutumwa kwa anuani ya Katibu Mkuu TAMISEMI na Ofisi ya Waziri Mkuu ili aione Mkurugenzi wa kitengo cha watu wenye ulemavu.

Akitaja sifa za waombaji wa ualimu, Waziri Ummy amesema kwa shule ya msingi wanatakiwa walimu wenye daraja la IIIA kuwa astashahada ya elimu ya msingi, elimu ya michezo, elimu ya awali na elimu maalum.

“Mwalimu wa daraja la IIIB anatakiwa kuwa mhitimu wa stashahada ya ualimu wa elimu ya awali, msingi, elimu maalum na Mwalimu wa daraja la IIIC, mhitimu wa shahada ya ualimu masomo ya lugha ya kiingereza, historia na jiografia,”amesema.

Kadhalika, amesema kwa shule za sekondari wapo kwenye makundi manne ambapo anatakiwa mwalimu wa daraja IIIB ambaye amehitimu stashahada ya ualimu wa masomo ya Fizikia, Hesabu, Baiolojia na Kemia.

“Pia mwalimu wa daraja IIIC ambaye amehitimu ualimu aliyesomea elimu maalum kwa masomo hayo na shahada ya ualimu wa masomo hayo, pia awe amehitimu stashahada ya uzamili katika elimu lazima awe mwenye shahada ya kwanza yenye masomo tajwa,”amesema.

Pia amesema kwa waombaji wa ajira hizo ambao wamesomea elimu ya sekondari nje ya nchi wanatakiwa kupata namba ya ulinganifu wa matokeo inayoanzia na herufi EQ…kutoka Baraza la Mitihani la Tanznaia ili kuingia kwenye mfumo wa maombi ya ajira.

“Pia wanatakiwa kupata ithibati ya masomo yao kutoka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), ili vyeti vyao vitambulike na kupata uhalali wa kutumika nchini,”amesema.

Pamoja na hayo, Ummy amesema kada za afya ambazo serikali itaajiri ni daktari daraja la II, daktari wa meno daraja la II, tabibu daraja la II, tabibu msaidizi, tabibu wa meno daraja la II, tabibu meno msaidizi, mfamasia daraja la II.

Nyingine ni mteknolojia wa dawa daraja la II, mteknolojia msaidizi wa dawa, mteknolojia wa maabara daraja II, mteknolojia msaidizi maabara, mteknolojia mionzi daraja la II, mteknolojia msaidizi wa mionzi, mteknolojia wa macho daraja la II.

Kadhalika, alisema itaajiri Ofisa Muuguzi daraja la II, Ofisa muuguzi msaidizi daraja la II, Muuguzi daraja la II, mtoa tiba kwa vitendo daraja la II, Ofisa afya mazingira daraja la II, Ofisa afya mazingira msaidizi daraja la II, Msaidizi wa afya, Katibu wa afya daraja la II, Ofisa ustawi wa jamii daraja la II na Ofisa lishe daraja la II.


Amesema ajira zitatolewa kwa haki na hataruhusu kuwepo na aina yeyote ya ushawishi  na kusisitiza watazingatia wale waliomba kwa maelekezo yaliyotolewa.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.