• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Waziri Jafo kuwa Mgeni Rasmi Mkutano wa Waganga Wakuu

Imewekwa tar.: August 18th, 2019

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mh Selemani Jafo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri utakaofanyika jijini Dodoma kuanzia Agosti 20 hadi 24 Mwaka huu.

Akizungumzia mkutano huo Mkurugenzi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe wa TAMISEMI, Dk Ntuli Kapologwe amesema kauli mbiu ya mkutano huo itakua ni uwajibikaji ni nguzo muhimu katika utoaji huduma bora za afya kuelekea uchumi wa kati.

Amesema mkutano wa mwaka huu utakua ni tofauti na mikutano mingine kutokana na kuanzisha ushirikiano wa karibu baina yao na Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto huku pia wakiwakaribisha Wakurugenzi wa Hospitali mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Taifa Muhimbili, Hospitali Maalum ya Jakaya Mrisho Kikwete, Wakurugenzi wa Hospitali za Kanda na wadau wengine.

" Ukiachia hao pia tutakua na Makatibu wa Afya wa Mikoa na moja ya vitu tutakavyofanya katika mkutano huu ni kufanya tathimini ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita kuhusiana na utekelezaji wa afua mbalimbali za sekta ya Afya lakini ukiachia hivyo tutafanya pia tathimini ya kuangalia maazimio tuliyoingia mwaka jana kuangalia jinsi gani tulivyoyatekeleza," amesema Dk Kapologwe.

Amesema sambamba na hayo wataweka mikakati kwa ajili ya mwaka  ujao ambao pia wataufanyia tathimini Agosti 2020.

Dk Kapologwe amesema mkutano huu pia utakua tofauti kwa sababu watapokea zaidi mawasilisho yatakayotoka katika ngazi za Mikoa na Halmashauri.

" Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri wana changamoto mbalimbali na wana mambo waliyofanya vizuri. Wao ndio watakua watoaji mada na sisi tutakua wachangiaji lakini ukiachilia hilo Wizara ya Afya kama watengenezaji Sera watakua na jukumu la kuwasilisha mada mbalimbali za kisera ambapo Waganga wakuu na Wakurugenzi wa Hospitali watahakikisha wanazipeleka katika maeneo yao kwa ajili ya utekelezaji," amesema Dk Kapologwe.

Aidha amesema watatumia njia mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanapata taarifa za kina juu ya kile kinachojiri kwenye mkutano huo ambapo watatumia tovuti ya TAMISEMI, Mitandao ya kijamii sambamba na vyombo vya habari lengo ni kuwafanya pia wananchi washiriki katika mkutano huo.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BODI YA MIKOPO YA SERIKALI ZA MITAA KUSUKWA UPYA

    January 23, 2023
  • MAKAMU WA RAIS AWAPONGEZA DODOMA JIJI KWA UWEKEZAJI

    January 20, 2023
  • SERIKALA YASISITIZA KILA MMOJA KUTUNZA MAZINGIRA

    January 20, 2023
  • TANZANIA ITAENDELEA KUSHIRIKANA NA WADAU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI

    January 20, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.