Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

TAMISEMI QUEENS Mabingwa Ligi ya Muungano

Imewekwa tar.: November 21st, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amewapongeza wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) kwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Muungano kwa kuichapa Mbweni JKT kwa mabao 40 kwa 32 mwishoni mwa wiki.

Akiongea Jijini Dodoma wakati akipokea timu hiyo waziri Jafo ameipongeza timu hiyo kwa kufikia malengo yake na amezitaka timu mbalimbali zinazonyemelea vipaji vya wachezaji waliopo timu ya mpira wa pete Ofisi ya Rais TAMISEMI zijitokeze kuwachukua wachezaji hao lakini ni lazima wafuate taratibu ili kujua mustakabali wa maisha ya wachezaji hao kwani ofisi yake inalea vipaji vya wachezaji na wafanyakazi ili kuviendeleza kwa maslai yao na Serikali.  

“wachezaji wetu mmenipa faraja inayopitiliza, sisi ni mabingwa wa Muungano, kwa hayo machache, nimefarijika sana, tumepata ubingwa lakini kizuri zaidi wachezaji bora wa michezo hii wametoka Ofisi ya Rais TAMISEMI”

Aidha, Jafo amesema ushindi huo ni ushindi wa Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambaye ndiye waziri Mwenye dhamana na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani timu hii ipo katika ofisi yake na matarajio ya ofisi ni kucheza kombe la mabara baada ya kuifanya timu ya TAMISEMI QUEENS kuwa timu ya Taifa.

Naibu Katibu Mkuu OR – TAMISEMI Bw. Gerald Mweli amesema ofisi itayafanyia kazi maagizo yote ya Serikali ili timu ya mpira wa pete iweze kufanya vizuri zaidi.

Naye mwalimu wa timu ya TAMISEMI QUEENS Bi. Maimuna Kitete amesema mafanikio yao ni kutokana na wachezaji wake kujiandaa na kucheza kama timu kama alivyokuwa amewaandaa kushinda michuano ya Kombe la Muungano na ushirikiano mkubwa wa uongozi wa OR-TAMISEMI. Aidha, amesema TAMISEMI Queens walikabidhiwa kikombe cha ubingwa pamoja na  kutoa mchezaji bora (MVP) na mchezaji bora wa katikati (center).

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TAMISEMI sports Filbert Lwakilomba amesema wanazo changamoto kadhaa zikiwemo kutokujitokeza kwa wagombea wakwenye uchaguzi wa Viongozi wa michezo lakini pia wachezaji kuwajibika katika vituo vyao vya kazi na pia kutokuwa na kambi ya muda mrefu na hivyo kupelekea kufanya timu hiyo kuwa na matokeo yasiyoridhisha ukilinganisha na timu za majeshi ambazo wachezaji kazi yao ni moja tu ya michezo.

Timu ya Mpira wa Pete ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI Queens) ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Ligi ya Muungano Visiwani Zanzibar mwishoni kwa kuisambaratisha timu ya Mbweni JKT kwa jumla ya magoli 40 kwa 32 katika mchezo wa fainali uliopigwa katika viwanha vya Gymkana Kisiwani Zanzibar.


TAMISEMI Queens ilishinda michezo yote mpaka kufika fainali na kutwaa ubingwa ikiwa imepangwa kundi B ikiwa na timu za Eagle ya Jijini Dar es salaam, Mafunzo ya Zanzibar, Mbweni JKT, Makutupora kutoka Dodoma na Zimamoto ya Zanzibar. Jumla ya timu 11 zilishiriki ambapo kuni A zikiwa timu 5 na kundi B timu 6.

       Anaandika OR - TAMISEMI Fred Kibano


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.