• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Serikali yaahidi kuikarabati Sekondari ya Wasichana Iringa

Imewekwa tar.: May 3rd, 2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ameahidi kuwa shule ya sekondari ya Wasichana Iringa iliyopo mkoani Iringa itafanyiwa ukarabati ikiwa ni muendelezo wa serikali katika kuzikarabati shule zake kongwe hapa nchini.
Waziri Jafo alitoa kauli hiyo jana wakati akiwa njiani kurudi Dodoma akitokea mkoani Iringa ambapo pamoja na kuhudhuria sherehe za Mei Mosi alihudhuria pia ufunguzi wa hospitali ya Wilaya ya Kilolo.
Ilimlazimu Waziri Jafo kufanya ziara ya kushtukiza shuleni hapo, ili aweze kujionea miundombinu mbalimbali katika shule hiyo iliyo anzishwa toka mwaka 1967.
Akizungumza na walimu, watumishi wasio walimu pamoja na wanafunzi wa shule hiyo mara baada ya kujionea hali ya miundombinu ya shule hiyo, Mhe. Jafo alieleza kuwa shule hiyo ni miongoni mwa shule kongwe zilizo kwenye mpango wa ukarabati mkubwa ili kuwa na mazingira bora ya kusoma na kujifunzia.
“Katika mwaka wa fedha wa 2017/18 tulikarabati shule kongwe 43 na katika mwaka huu wa 2018/19, shule hii pamoja na zingine kongwe 45 hapa nchini zitakuwa katika mpango kamambe wa kukarabatiwa kama tulivyokwisha fanya kwenye shule kama 43 za awali ambapo shule 89 zote kongwe tuwe tumezimaliza” alisema Waziri Jafo.
Aliongeza kuwa shule ya Wasichana Iringa imekuwa ni moja ya shule bora na hivyo kufanya wanafunzi wengi kupenda kuhamia kwenye shule hiyo.
Sambamba na ukarabati huo Mhe. Jafo ameahidi kuzifanyia kazi changamoto zote ambazo ziliainishwa mbele yake ikiwepo upungufu wa walimu wa Fizikia na Hisabati pamoja na stahiki za walimu.
“Mama yetu Nkondola amewasilisha changamoto za walimu wa Hesabu na Fizikia lakini pia maslahi ya walimu, naomba nieleze kuwa suala hilo nimelichukua lakini niwaahidi kutuma wataalam kutoka kwenye wizara yangu pamoja na wizara nyingine za kisekta kuja kufanya tathmini ya kina juu ya haya mliyoniambia,” alisema waziri Jafo.
Aliwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii huku akitoa ahadi  kwa jumuiya hiyo kuwa endapo katika mitihani yao ya mwisho ya kidato cha sita watapata daraja la kwanza (DV.1) zaidi wanafunzi ya 30 atawandalia sherehe ndogo ya kujipongeza na wale watakaopata daraja la kwanza kati ya pointi 3-5 wataalikwa bungeni kwa gharama zake yeye Mhe.Jafo.
Mhe. Jafo akiwa katika ziara hiyo, alikagua miundombinu ya shule ikiwapo Mabweni, Vyoo, Bwalo la Chakula, Jiko na Ofisi za Walimu na kisha kufanya mazungumzo na walimu, watumishi wasio walimu wanafunzi sambamba na wananchi wanaozunguka eneo la shule hiyo.

Huo umekuwa ni utamaduni wa kiongozi huyo mwenye dhamana na OR TAMISEMI kila anapopata fursa kutembelea mikoani kutembelea shughuli za maendeleo kwa wananchi na sekta zote ili kujionea maendeleo ya watu na shughuli zao.


Anaandika Atley Kuni- OR TAMISEMI

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.