• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali kuwekeza kwenye teknolojia ya gharama nafuu ujenzi wa barabara za Wilaya – Waziri Mchengerwa

Imewekwa tar.: February 8th, 2024

OR - TAMISEMI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema serikali inakusudia kuwekeza nguvu nyingi katika ujenzi na ukarabati wa barabara kwa kutumia teknolojia mbadala ya ECO Road.

Teknolojia hiyo itatumika kwenye barabara zilizochini ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) ikilenga katika kuongeza ufanisi wa gharama na muda wa utekelezaji wa miradi na utunzaji wa mazingira.

Waziri Mchengerwa ameyasema hayo wakati akiwasilisha taarifa ya TARURA kuhusu marekebisho ya miundombinu ya barabara na tathimini ya uharibifu wa miundombinu ya barabara katika kipindi cha Julai 2023 hadi Januari 2024 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Amesema dhamira ya kutumia teknolojia ya ECO Road ni kuondoa vikwazo kwenye mtandao wa barabara za wilaya ili angalau asilimia 85 ya barabara hizo iweze kupitika misimu yote ifikapo mwaka 2025.

Akizungumzia tathimini ya uharibifu wa miundombinu nchini, Waziri Mchengerwa amesema TARURA inahitaji shilingi bilioni 131 kurekebisha uharibifu wa miundombinu uliotokea katika mikoa yote 26 katika kipindi cha kuanzia mwezi Juni 2023, hadi mwezi January 2024.

Wakichangia taarifa hiyo baadhi ya wajumbe wa kamati akiwemo Mbunge wa Kilosa, Prof. Palamagamba Kabudi wameshauri ujenzi wa mitaro mikubwa kandokando mwa barabara zinazojengwa na TARURA na akitolea mfano wa baadhi ya barabara zenye mitaro mikubwa zilizojengwa na TARURA katika jimbo lake zilivyosaidia kudhibiti mafuriko yaliyokuwa yakitokea katika maeneo hayo kila mwaka.

Akihitimisha kikao hicho, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Denis Londo ameipongeza TARURA kwa kazi kubwa wanayoifanya na kushauri juu ya uanzishwaji wa jumuiya za watumiaji barabara na kuhimiza kuzijengeaa uwezo ili zisaidie katika kusimamia miundombinu ya barabara.

Mpaka sasa serikali kupitia TARURA inaendelea na majaribio ya ujenzi wa barabara kwa kutumia teknolojia mbili tofauti ambapo inajenga barabara ya Sawala- Mkonge- Iyegeya hadi Lulanda mkoani Iringa yenye kilometa 10.4 ambayo kwa teknolojia ya ECO Road na ujenzi wake umefikia asilimia 55, na inajenga barabara ya kilometa tano kutokea eneo la Itilima Oli hadi Ikindilo Mkoani Simiyu kwa teknolojia ya Ecozyem.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.