• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Serikali Kuwachukulia Hatua Waliozisababishia Halmashauri Hati Chafu

Imewekwa tar.: August 20th, 2018

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI), Joseph Kakunda amesema serikali imeanza kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wote wa halmashauri nchini waliosababishia halmashauri zao kupata hati chafu na zenye mashaka katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa ya mwaka 2016/2017.

Akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mamlaka za Serikali za Mitaa (LAAC) katika ukumbi wa Msekwa bungeni Jijini Dodoma leo, Mhe Kakunda amesema Serikali inaendelea kuongeza kasi katika usimamizi na uboreshaji wa utendaji kazi ili kuhakikisha hakuna halmashauri inayopata hati chafu pamoja na hati zenye mashaka.

“Hatua zinaendelea kuchukuliwa ili kuboresha utendaji kwenye sekta mbalimbali za Mamlaka ya Serikali za Mitaa ikiwemo kuwachukulia hatua watumishi waliosababishia halmashauri kupata hati chafu kama vile kuwapa onyo kali na kuwafukuza kazi” Alisema Naibu Waziri Kakunda.

Aidha Waziri Kakunda amesema uchambuzi unaendelea nchi nzima ili kujua ni watumishi wangapi wamechukuliwa hatua za kinidhamu zikiwemo kuwashusha vyeo, kuwafukuza kazi, kuwapa onyo pamoja na kuwapeleka mahakamani.

Kuhusu kufanyika kwa ukaguzi maalumu katika halmashauri za Igunga, Tabora Manispaa pamoja na Kigoma Ujiji ambayo imepata hati isiyoridhisha kwa miaka mitatu mfululizo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Abdallah Chikota ameitaka Ofisi ya Rais TAMISEMI kugharamia ukaguzi huo baada ya Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG ) kudai kuwa wanakabiliwa na changamoto ya bajeti.

Awali akiwasilisha muhtasari wa taarifa ya jumla ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa, katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2017, Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Jasper Mero amesema idadi ya Hati za Ukaguzi zinazoridhisha imeongezeka.

“Idadi imeongezeka kutoka 138 sawa na asilimia 81 za mwaka 2015/2016 hadi kufikia 166 sawa na asilimia 99 kwa mwaka 2016/2017, na idadi ya Hati zenye mashaka imepungua kutoka 32 sawa na aslimia 19 kwa mwaka 2015/2016 mpaka 16 sawa na asilimia nane kwa mwaka 2016/2017” Amesema Mero.

      Anaandika Zulfa Mfinanga - OR TAMISEMI


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.