Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Sekta binafsi zatakiwa kuwekeza katika viwanda vya kutengeneza bidhaa za afya

Imewekwa tar.: November 15th, 2018

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Josephat Sinkamba Kandege ametoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya afya  hasa kwenye viwanda vya kutengeneza  bidhaa za afya nchini.

Ameyasema hayo wakati akifunga mkutano wa Tano wa wadau wa Sekta ya afya nchini uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere leo jijini Dar-es-salaam.

Mhe. Kandege amesema kuwa Tanzania  kwa sasa kuna makampuni 14  yanayojishughulisha na bidhaa za afya (Dawa, Vifaa, vifaa tiba na  vitenda) yenye mtaji mdogo ukilinganisha na mahitaji ya huduma hiyo nchini hivyo ni vyema makampuni binafsi yakawekeza ili kukidhi mahitaji ya nchi.

Mhe. Kandege amewataka wawekezaji wenye nia ya dhati  kuja kuwekeza kwenye makampuni  ya kutengeneza  bidhaa za afya hasa watanzani  wenye uwezo wa kifedha  kutumia nafasi hii adimu kuwekeza nchini.

Amesema kuwa kasi ya makampuni ya wazawa kuwekeza katika viwanda vya bidhaa za afya  nchini hayaendani na uhitaji  halisi kwa sasa kwa kuwa nchi huagiza  asilimi 94 kutoka nje.

Amesema kuwa sekta ya afya ni muhimu katika jamii hivyo ni vyema  makampuni binafsi kuhakikisha wanawekeza katika katika viwanda vya madawa kwa kuwa uhitaji wa dawa nchini ni mkubwa  ukilinganisha na uzalishaji wa bidhaa hizo nchini.

Mhe. Kandege amesema kuwa Tanzania  inatumia  zaidi ya shilingi trilioni  moja ( trilioni 1 )  kila mwaka  katika masuala ya afya lakini  ni asilimia kumi ndio hutumika katika viwanda vya ndani.

Wakati huohuo Rais wa chama cha wadau wa Afya nchini  Dkt. Omary Chilo amesema kuwa lengo la mkutano huo ni kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya afya nchini hasa katika uwekezaji wa makampuni ya afya nchi jambo ambalo bado ni changamoto nchini Tanzania.

Amesema maendeleo ya viwanda katika sekta ya afya ni jambo la muhimu kwa kuwa teknolojia imebadilika  na magonjwa yanayobadilika  hivyo uwekezaji katika sekta afya  kutaleta mabadiliko katika utengenezaji wa  madawa jambo ambalo litahusisha utengenezaji wa vifaa tiba na kuwekeza katika rasilimali watu.

Amesema kuwepo na viwanda vya kutengeneza bidhaa za afya (Dawa,vifaa, vifaa tiba na vitenda) nchini  kutasaidia  kupunuza bei ya madawa  ambazo zitamsaidia mwananchi maskini , kuongeza ajira kwa i na kuongeza ushindani  ili kuleta tija katika kukuza uchumi wa nchi katika sekta ya afya.

Aidha  amesema kuwa dunia imekuwa kama kijiji kwa kuwa hakunakitu kinachoweza kufanyika bila kuwa na takwimu sahihi, hivyo ni vyema kukawa na mkakati wa kukusanya , kuingiza  na kuifadhi na jinsi ya kutumia takwimu mbalimbali ili kuboresha afya nchini.

Na. Angela Msimbira



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.