• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Pwani,Tabora yaibuka kidedea mita 100 UMISSETA

Imewekwa tar.: June 29th, 2021


Na Mathew Kwembe, Mtwara

Wanariadha Benedicto Mathias wa Pwani na Bora Hassan wa Tabora wameibuka washindi katika fainali ya mbio za mita 100 zilizofanyika leo katika uwanja wa chuo cha ualimu Mtwara.

Benedicto mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Filbert Bayi alitumia sekunde 11:22 kumaliza mbio hizo, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mwanariadha Ally Bakari wa Dar es salaam ambaye alitumia sekunde 11:44 na Kassim Khamis wa Unguja alishika nafasi ya tatu baada ya kutumia sekunde 11:45 kumaliza mbio hizo.

Kwa upande wa wasichana, mshindi wa kwanza ambaye ni Bora Hassan wa Tabora alitumia sekunde 13:19, akifuatiwa kwa karibu na Stumai Msemwa wa Njombe ambaye alikimbia muda wa sekunde 13:28 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mwanariadha Shija Paulpo wa Pwani ambaye alimaliza mbio hizo akitumia sekunde 13:47.

Katika fainali za mbio za mita 1500, washindi ni Damian Patrick wa Arusha na Loema Awaki wa Manyara ambao jana pia waliibuka kuwa washindi wa mita 3000.

Damian alitumia dakika 4:07:16, akifuatiwa na Paul Ndege kutoka Mara aliyetumia dakika 4:11:06 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na mwanariadha Augustino Leonard wa Manyara ambaye alitumia dakika 4:12:44.

Kwa upande wa wasichana nafasi ya kwanza ilikamatwa na Loema Awaki wa Manyara ambaye alitumia dakika 4:44:50, nafasi ya pili ilichukuliwa na Ester Martin ambaye pia anasoma shule ya sekondari ya Filbert Bayi baada ya kutumia dakika 4:46:80 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Nyanzobe Mbahi wa Mara aliyetumia dakika 4:49:66.

Katika fainali za mbio za kupokezana vijiti mita 100 x 4 mwanariadha Stumai Msemwa wa Njombe aliwaongoza wanariadha wenzake watatu kutoka mkoa huo kujitwalia medali za dhahabu baada ya kutumia jumla ya sekunde 55:66, huku nafasi ya pili ikichukuliwa na mkoa wa Mara na Tabora ikashika nafasi ya tatu.

Michezo mingine ya riadha hatua ya fainali itafanyika kesho ambapo mshindi wa mbio za mita 200, 400 na 800 pamoja na mbio za kupokezana vijiti mita 400 x 4 zinatarajiwa kuhitimishwa katika uwanja wa chuo cha ualimu Mtwara.

Matokeo ya michezo mingine iliyofanyika asubuhi hatua ya robo fainali kwa upande wa mpira wa wavu wasichana Mtwara imeifunga Tanga seti 3-0, Dar es salaam imeifunga Tabora seti 3-2, Mara imeifunga Simiyu seti 3-0 na Mbeya imeichapa Manyara seti 3-0.

Kwa upande wa mpira wa kikapu wavulana robo fainali Pemba imeifunga Iringa kwa pointi 45-25, Mwanza imeishindilia Rukwa pointi 88-17, Songwe imechapwa na Lindi 9-10 na Mara imefungwa na Njombe kwa pointi 34-38.

Kwa upande wa mpira wa kikapu wasichana Songwe imechapwa na Ruvuma 9-23, Dodoma imeifunga Lindi 22-12 na Tabora imeibugiza Iringa vikapu 62-12.

Kwa upande wa mchezo wa mpira wa mikono, timu zilizoingia nusu fainali kwa wavulana ni Unguja, Dar es salaam, Tabora, na Morogoro, na kwa wasichana timu zilizoingia hatua hiyo ni Morogoro, Geita, Ruvuma na Unguja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MJINI MAGHARIBI, PEMBA ZATWAA UBINGWA MPIRA WA MEZA

    August 17, 2022
  • ‘TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA’ BASHUNGWA

    August 17, 2022
  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.