• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

“PS3 plus” Yarudi kwa kishindo, Bilioni 114 kuwezesha Mifumo Sekta ya umma nchini

Imewekwa tar.: January 16th, 2021

Na Fred Kibano, Dodoma

Jumla ya dola za kimarekani milioni 49.9 sawa na shilingi Bilioni 114.7 za kitanzania zimetengwa na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (‘Public Sector Strengthen Programme awamu ya pili PS3 Plus) kwa kipindi cha miaka 5 kuanzia mwezi Julai, 2020 hadi Julai, 2025, ili kuendelea kufanya kazi na Serikali kama sehemu ya wadau wa maendeleo wanaoshirikina na Serikali kwa karibu.

Akiongea wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha siku mbili kilichofanyika Jijini Dodoma jana na kuwahusisha wataala wa Habari kutoka TAMISEMI, Wizara ya Afya na Kilimo, Mkurugenzi wa Tathmini, Ufuatiliaji na Mafunzo kutoka Mradi wa PS3 Bw. Kusekwa Sono, amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha mifumo inayosaidia utoaji bora wa huduma kwa wananchi na wadau matahalani kama uimarisha ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa njia ya kieletroniki nk.

Alisema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita mradi ulijikita kuimarisha mifumo ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa hususani kwenye Mikoa yake 13 na Halmashauri 93 ya Tanzania Bara.

“Lakini katika katika awamu hii ya pili mradi utafanya kazi kwenye mikoa yote 26 Tanzania Bara pamoja na Zanzibar na Halmashauri zake, Wizara za Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Kilimo, na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,” alisema.

Akiwasilisha mada katika kikao hicho, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais TAMISEMI, Nteghenjwa Hosseah amesema matarajio ya ofisi ni kuendelea kuwajengea uwezo Maafisa Habari wa Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, kuboresha Tovuti, kufanya mapitio ya mkakati wa mawasiliano wa wizara, kuwa na mwongozo maalum wa hati miliki, uanzishwaji wa studio ya wizara, jarida la mifumo yetu, kuwa na siku ya Tuzo za waandishi wa Habari za jarida la ‘Mifumo Yetu’

Baadhi ya kazi zilizofanyika katika kipindi cha miaka mitano ya mradi huo kwenye eneo la mawasiliano ni uanzishwaji wa tovuti za Mikoa, Halmashauri pamoja na Wizara na wadau wake, mafunzo ya uandishi wa Habari za mitando na taarifa za tovuti kwa Maafisa Habari kote nchini.

Kurejea kwa wadau wa maendeleo hao kutatoa wigo wa Ofisi ya Raie-TAMISEMI, pamoja na Wizara zingine za kisekta kuendelea kuwahudumia watanzania katika Nyanja mbalimbali.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA - UALIMU NA AFYA - TAMISEMI APRILI, 2023 April 12, 2023
  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMUZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA - DODOMA

    May 31, 2023
  • MIKATABA YA UTEKELEZAJI MRADI WA UENDELEZAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM DMDP 2 YASAINIWA

    May 30, 2023
  • DKT. MPANGO AFUNGUA MKUTANO WA ALAT

    May 30, 2023
  • WANANCHI KIJIJI CHA MAJALILA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA SHULE

    May 23, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.