Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

MCHENGERWA:ALAT SIMAMIENI NIDHAMU YA MADIWANI NA WAKURUGENZI

Imewekwa tar.: February 9th, 2024

OR-TAMISEMI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kushuka kwa nidhamu ya baadhi ya madiwani na wakurugenzi ni matokeo ya kulegalega kwa utendaji kazi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT).

Waziri Mchengerwa amesema jukumu la msingi la (ALAT) ni kuimarisha nidhamu na ushirikiano baina ya baraza la madiwani na watendaji wa serikali kuhakikisha wanaongea lugha moja katika kuwahudumia wananchi na kuwaletea maendeleo.

Amesema “Msingi wa uanzishwaji wa (ALAT) mwaka 1984, baba wa taifa Julius Kambarage Nyerere alikusudia mengi ambayo kama (ALAT) wakifanya vizuri leo, wataweza kutusaidia kuyaboresha na kutuweka sawa”


Waziri Mchengerwa ameyasema hayo katika kikao kazi kilicho wakutanisha wajumbe wa kamati tendaji ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) na viongozi wa juu wa OR – TAMISEMI na PPRA kilicholenga kujadiliana namna bora ya kuboresha utendaji kazi wa jumuiya hiyo.


Akizungumzia madai ya uwepo wa baadhi ya mifumo inayokwamisha manunuzi, Waziri Mchengerwa amesema wakati mwingine viongozi wa ngazi za juu wamekuwa wakichukua hatua za kinidhamu dhidi ya watumishi hasa wakurugenzi kwa madai ya kuchelewesha manunuzi ilihali wakati mwingine wakurugenzi wakikwamishwa na mifumo.

“Tumejikuta tunalazimika kuwaadhibu wakurugenzi, kumbe wakati mwingine makosa siyo yao ni ya mifumo ya manunuzi au pengine ni mipya kwao ama hawana elimu au uelewa wa kutosha kuhusiana na mifumo hiyo” alisema Waziri Mchengerwa

Ili kupata utatuzi wa hoja hizo za kimsingi zinazodaiwa kukwamisha utendaji kazi wa baadhi ya halmashauri, waziri Mchengerwa alimpa fursa afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma PPRA Bw. Eliakim Maswi kutoa ufafanuzi wa kina na elimu juu ya namna mifumo ya manunuzi inayotumiwa na serikali inavyopaswa kufanya kazi.

Akiongea kwa niaba ya wajumbe wa kamati hiyo mwenyekiti wa ALAT Taifa Mhe. Murshid Ngeze, amepongeza hatua ya kukutanishwa na watendaji wa juu wa OR – TAMISEMI na PPRA na kusema kuwa wamefarijika kukutanishwa na viongozi hao na kikao hicho ni mwanzo wa  kwenda kuonesha uimara wa serikali za mitaa na kuondoa kero ndogondogo ambazo zinamchukiza  Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.