Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Magereza Morogoro hoi kwa TAMISEMI QUEENS baada ya kuchapwa magoli 49-35

Imewekwa tar.: July 24th, 2021

Na Mathew Kwembe, Arusha

Timu ya Netiboli ya Maafande wa Jeshi la Magereza ya mkoani Morogoro leo imesalimu amri kutoka kwa Mabingwa wa Netiboli wa Ligi ya Muungano wa mwaka 2019, timu ya TAMISEMI Queens ya Dodoma baada ya kukubali kipigo cha magoli 49-35.

Hadi robo ya kwanza ya mchezo inamalizika TAMISEMI QUEENS walikuwa mbele kwa magoli 13-5, na katika robo ya pili na ya tatu TAMISEMI QUEENS waliongoza kwa magoli 23-14, na 34-25.

Katika robo ya pili kocha wa Magereza alimtoa Mshambuliaji Naima Boli na kumuingiza Mwanaasha Ally, mabadiliko ambayo yalileta uhai kwa timu ya Magereza kwani mchezaji huyo alionyesha uhai kwa timu hiyo na kuwapa wakati mgumu walinzi wa TAMISEMI QUEENS.

Katika mchezo huo, wachezaji Semeni Abeid na Sophia Komba waliweza kushirikiana vema katika dimba la katikati na kusababisha hatari za mara kwa mara katika goli la maafande wa Magereza. 

Magoli ya Magereza yalifungwa na wachezaji Naima Boli, Mwanaasha Ally na Mary Msangi huku wafungaji wa TAMISEMI QUEENS ni Lilian Jovin na Aziza Itonye.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mchezo huo Mlinzi wa pembeni wa TAMISEMI QUEENS Mersiana Kizenga alisema kuwa timu yake ilipambana ili kupata ushindi huo.

Mchezaji huyo ambaye ndiye aliyekuwa anaanzisha mashambulizi dhidi ya Magereza alisema kuwa mchezo wa leo ulikuwa mzuri na kila timu ilikuwa ikitafuta ushindi ndiyo maana alilazimika kufanya kazi ya ziada ya kutibua mipango ya wachezaji wa Magereza kila walipo karibia goli la TAMISEMI QUEENS.

Kufuatia ushindi huo TAMISEMI QUEENS chini ya kocha wake Maimuna Kitete imeendelea vema na kampeni yake ya kutwaa ubingwa wa ligi ya Netiboli nchini ambao unashikiliwa na timu ya JKT Mbweni ya Dar es salaam.

Hadi sasa TAMISEMI QUEENS ambayo ndiyo timu pekee kutoka katika wizara inayoshiriki ligi daraja la kwanza, imeshinda mechi zake zote nne sawa na timu ya JKT Mbweni 

Kesho timu ya TAMISEMI QUEENS itacheza michezo miwili katika mfululizo wa mechi za ligi hiyo ambapo asubuhi itapambana na maafande wa JKT Mgulani na mchana timu hiyo inayomilikiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI itacheza dhidi ya timu ya Uhamiaji ya jijini Dar es salaam.

Matokeo mengine ya michezo iliyochezwa jana na leo inaonyesha JKT Mbweni imeichapa Uhamiaji magoli 61-40, Polisi Arusha imeifunga Arusha Jiji magoli 55-22, Ihumwa Dream Team iliigalagaza Polisi Arusha magoli 46-44, na Magereza Morogoro imeichapa JKT Mgulani magoli 39-35.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.