Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Jafo azitaka Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) kulisemea mema Taifa.

Imewekwa tar.: November 8th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amezitaka Asasi za Kiraia nchini (Azaki) kuendelea kulisemea mema Taifa ili kujenga uzalendo nchini.

Ameyasema hayo leo wakati akifunga Mkutano wa majadiliano ya wiki ya Asasi za Kiraia Nchini (Azaki) yakifanyika katika ukumbi wa Morena Jijini Dodoma.

Mhe. Jafo amesema ifike mahali Azaki mbalimbali nchini kuhakikisha wanatangaza maendeleo yaliyofanyika nchini hasa katika sekta ya afya, elimu, ujenzi wa miundombinu ya barabara, umeme maji na maendeleo mbalimbali yaliyofanyika nchini.

Amezitaka Azaki hizo kujenga hoja kwa wafadhili ili waweze kupata fedha ambazo zitasaidia kutangaza mazuri yaliyofanywa na Serikali katika Awamu ya Tano ya Uongozi chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli ambapo itasaidia kuwajuza wananchi mema yaliyofanywa na Serikali yao.

“Kama Serikali kwa kutumia kodi za wananchi na  imeweza kufanya maendeleo mbalimbali nchini, Azaki hazina budi  kuwa mstari wa mbele kutangaza na kusemea  mazuri yaliyofanywa na Serikali ili wananchi wajue na mseme bila kuona aibu huo ndio uzalendo” Amesisitiza Mhe. Jafo

Hata hivyo, Mhe Jafo amesema kuwa mstakabali wa Nchi ya Tanzania ulivyofikia hivi sasa chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli umetokana na mchango mkubwa  wa Asasi za Kiraia nchini   kwa kusoa na kuleta mabadiliko nchini.

Mhe. Jafo ameendelea kufafanua kuwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa itaendelea kushirikiana na Asasi za kiraia ili kuleta mabadiliko katika utendaji kazi na kuleta maendeleo katika jamii.

” Sisi ni wadau wakubwa wa Azaki kwa sababu zinagusa moja kwa moja maisha ya wananchi wetu,jukumu letu ni kuziunganisha  Halmashauri zote 185 na malengo yetu ni kutoa huduma  bora kwa wananchi,” amesisitiza Mhe. Jafo

Mhe. Jafo amesema kuwa Azaki  pamoja na Serikali zinajenga nyumba moja ambapo lengo likiwa ni  kuleta maendeleo kwa jamii, hivyo ifike mahali  tujenge ushirikiano  ambao utaisogeza nchi  katika uchumi wa kati na kuleta mabadiliko.

Aidha,ametoa rai kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhakikisha Asasi za Kiraia (Azaki) hazicheleweshwi kupata vibali vya kufanyia kazi pale wanapokidhi vigezo katika Mikoa na Halmashauri  nchini na kuwataka Wakuu wa Mikoa kuharakisha mchakato wa vibali  kwa haraka ili Azaki hizo ziweze kutekeleza majukumu yao kwa wakati.




Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.