Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

HUWEZI KUTENGANISHA JIJI LA DAR NA SOKO LA KARIAKOO’ MCHENGERWA

Imewekwa tar.: November 17th, 2023



WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema ameridhishwa na ukarabati na ujenzi wa Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam.


Ameyasema hayo Novemba 15,2023 jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya kukagua ukarabati wa Jengo la Soko Kuu la Kariakoo.


“Nichukue fursa hii kupongeza uongozi wa kwa usimamizi wa soko hili la Kariakoo,lakini na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Masoko Kariakoo Mhe. Mama Ghasia.


“Lakini, pia nimpongeze Mkuu wa Mkoa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kwa usimamizi mzuri wa soko hili ambalo ndiyo kitovu cha Dar es Salaam.


“Unapoizungumzia Dar es Salaam, unaizungumzia Kariakoo na Soko la Kariakoo lina historia kubwa sana.


“Lazima tumshukuru na kumpongeza sana Rais wetu Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha takribani shilingi bilioni 28 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu wa soko la Kariakoo ambalo ni soko lenye historia pan sana ya nchi yetu Tanzania.


“Lakini, pia unapolizungumzia Jiji la Dar es Salaam unalizungumzia Soko la Kariakoo, kwa hiyo tunampongeza sana Mheshimiwa Rais.


“Leo tumefanya ukaguzi na nimeridhika kwamba, ujenzi unakwenda vizuri na takribani asilimia 85 imekwishatekelezwa.


“Na sisi tunaamini kabisa kwamba Mkandarasi kufikia mwezi wa pili mwakani atakuwa amemaliza na tutamuomba Mheshimiwa Rais yeye mwenyewe aje awakabidhi wananchi.


“Watanzania, wananchi wa Dar es Salaam soko hili la Kariakoo, kwa hiyo nimeridhika na ujenzi.Na ndiyo maana nachukua fursa hii kuwapongeza sana wasimamizi, nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu wa Mkoa kwa ufuatiliaji wa karibu, kuja mara kwa mara.


“Lakini, pia kufuatilia kuhakikisha kwamba thamani ya fedha iliyotolewa na Mheshimiwa Rais inakwenda kukidhi malengo ambayo Mheshimiwa Rais ameyakusudia katika ujenzi wa soko la kisasa kabisa la Kariakoo ambalo sasa limeongezwa mara dufu, tofauti na pale lilipokuwa awali.


“Sasa hivi, kutakuwa na maduka mengi, migahawa mingi, na maeneo mengi ya uchuuzi ambayo Watanzania wataweza kuyatumia wakati wa soko hili la Kariakoo.


“Kwa hiyo, tumshukuru Mheshimiwa Rais na mimi niendelee kumuomba Mkandarasi anayetekeleza mradi huu kuhakikisha vile viwango ambavyo Serikali imevikusudia wakati anamalizia utekelezaji wa mradi huu basi kisipungue kiwango hata kimoja.


“Maana yake ni kwamba tunagegemea tupate soko la kisasa zaidi, wakati wa umaliziaji wa utekelezaji wa mradi huu

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.